Bofya na soma zaidi:
Friday, August 30, 2013
Sunday, August 25, 2013
Mualiko wa siku ya Watanzania mjini Stockholm, Septemba 7, 2013
The
Tanzanian National Association in Sweden
08.08.2013
Dear Sir/ Madame,
The Tanzanian National Association in Sweden would
kindly like to invite you to a Tanzanian day event, taking place on September
the 7th at 15:00-21:00
Tanzania House, Näsby Allé 6
Täby.
We would like to take this
opportunity to gather our friends in Sweden to celebrate our newly established organization.
Your participation is essential
for a successful event and to strengthen our alliance. The aim is to gather
those who are interested in Tanzania and its development. We believe this will
contribute in the long run to archive our objectives, supporting Tanzanians in
Sweden and back home.
We are looking forward meeting
you on September the 7th!
Sincerely,
The Tanzania National association
secretary,
Angela Wilbard
Dear Prime Minister Cameron
We know that you will agree that one of the hallmarks of free and open democracies is a vivid public debate addressing all fundamental aspects of society, including the balance and possible conflict between the legitimate security concerns of governments and the protection of privacy and the free press. We all understand both the imperative to uphold domestic security and the equally important imperative to protect our open public debate about the limits to and legal implications of these efforts.
The debate is not a sign of weakness of our democracies. It is the basis of our strength.
On this backdrop, events in Great Britain over the past week gives rise to deep concern. We may differ on where to draw the lines and strike the right balance, but we should not differ in our determination to protect an open debate about these essential questions. Also we should stand united to protect individuals engaging in such debates within the parameters of democracy and the rule of law.
The free press plays a crucial role in this regard, also in situations where information revealed by the press is most inconvenient to governments and the intelligence community. We are surprised by the recent acts by officials of your government against our colleagues at The Guardian and deeply concerned that a stout defender of democracy and free debate like The United Kingdom refers anti terror legislation in order to legalize what amounts to harassment of both the paper and individuals associated with it. Moreover, it is deeply disturbing that the police have now announced a criminal investigation. We hope this is not to be seen as a step against journalists doing journalism.
The implication of these acts may have ramifications far beyond the boarders of the UK, undermining the position of the free press throughout the world.
Mr. Prime Minister, we hope that you will soon act to rectify this and reinstall your government among the leading defenders of the free press and an open debate in accordance with the proud tradition of your country.
The debate is not a sign of weakness of our democracies. It is the basis of our strength.
On this backdrop, events in Great Britain over the past week gives rise to deep concern. We may differ on where to draw the lines and strike the right balance, but we should not differ in our determination to protect an open debate about these essential questions. Also we should stand united to protect individuals engaging in such debates within the parameters of democracy and the rule of law.
The free press plays a crucial role in this regard, also in situations where information revealed by the press is most inconvenient to governments and the intelligence community. We are surprised by the recent acts by officials of your government against our colleagues at The Guardian and deeply concerned that a stout defender of democracy and free debate like The United Kingdom refers anti terror legislation in order to legalize what amounts to harassment of both the paper and individuals associated with it. Moreover, it is deeply disturbing that the police have now announced a criminal investigation. We hope this is not to be seen as a step against journalists doing journalism.
The implication of these acts may have ramifications far beyond the boarders of the UK, undermining the position of the free press throughout the world.
Mr. Prime Minister, we hope that you will soon act to rectify this and reinstall your government among the leading defenders of the free press and an open debate in accordance with the proud tradition of your country.
For POLITIKEN, Denmark:
Bo Lidegaard
Executive Editor-in-chief
For Dagens Nyheter, Sweden:
Peter Wolodarski
Executive Editor-in-chief
For Aftenposten, Norge:
Hilde Haugsgjerd
Executive Editor-in-chief
For Helsingin Sanomat, Finland
Riikka Venäläinen
Executive Editor-in-chief
Courtsey of Aftenposten.
Friday, August 23, 2013
Thursday, August 22, 2013
Tuesday, August 20, 2013
Monday, August 19, 2013
Huyu ndo Mangunga aliyewatoroka akina Masogange nchini Afrika Kusini baada ya polisi kuwanasa
Waziri wa uchukuzi Prof. Harrison Mwakyembe
alimtaja mshukiwa mmoja wa dawa za kulevya aitaye Nassoro Mangunga na kuwataka
polisi wamtie nguvuni popote atakapoonekana....
Hata hivyo, mshukiwa huyu pamoja na picha zake
alishaandikwa na gazeti la SANI katika toleo lake la Agosti 7-9, 2013 (toleo la
1042) pamoja na namna alivyosafirisha mzigo pamoja na akina Masogange.
Hii ni taarifa ya gazeti hilo:
Unaweza kukimbia lakini huwezi kujificha. Msemo huu
unaonekana kutimia kwa kijana anayedaiwa kuambatana na watuhumiwa wa dawa za
kulevya waliokamatwa Julai 5 mwaka huu nchini Afrika Kusini, Agness Gerald
'Masogange' (25) na Melisa Edward (24), kunaswa na gazeti hili.
Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na gazeti hili,
wasichana hao, Masogange na Melisa walisafiri ndege moja na kijana
anayejulikana kwa jina la Nassoro Mangunga wakitoka Dar es Salaam kwenda Afrika
Kusini, wakisafiri na ndege ya Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA), yenye
namba SA 189.
Wakiwa katika ndege hiyo Mangunga, Agness na Melisa
walikaa kwenye viti vilivyo jirani kabisa huku Mangunga akiwa katikati yao,
kwani Agness alikaa kiti namba 23B, Mangunga alikaa kiti namba 23D na Melisa
alikaa kiti namba 23A.
Mangunga ambaye ni rafiki mkubwa wa wanamuziki wa
Bongo Flava, Rashidi Abdallah Makwiro 'Chid Benz', Mgaza Pembe 'M2theP' na
Albert Keneth Mangweha 'Mangwair', wakati akisafiri na mabinti hao walikuwa na
jumla ya mabegi tisa kama kumbukumbu za nyaraka za shirika hilo la ndege
zinavyoainisha.
Licha ya nyaraka za kusafirishia mabegi hayo
kuonesha jina la Agness Gerald ambaye ni mpenzi wa Mangunga tangu mwanzoni mwa
mwaka jana, kuwa ndiye aliyelipia mabegi hayo, ila kwenye sehemu ya anuani ya
waraka pepe, imeandikwa Mangunga.
Aidha, mabegi hayo, yalikuwa na kilo 150 za dawa za
kulevya lakini kila mmoja alitakiwa kusafiri na kifurushi cha kilo ishirini
kama mzigo wa mkononi ambao husafiri bila malipo, hivyo watatu hao kwa pamoja
walikuwa na kilo sitini wote kwa pamoja, hivyi kubaki kilo 90 ambazo
walizozilipia Dola za Marekani 94 badala ya Dola 450.
Mangunga ambaye licha ya kuishi zaidi nchini Afrika
Kusini, lakini pia ni mkazi wa maeneo ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Agness na Melisa, walikamatwa Julai 5, 2013 katika
Uwanja wa Ndege wa Oliver Thambo, Afrika Kusini wakiwa na dawa za kulevya zenye
uzito wa kilo 150 aina ya Crystal Methamphetamine zenye thamani ya Sh bilioni
6.8 za Kitanzania, na walipotiwa mbaroni, walikuwa na mabegi sita tu kati ya
tisa waliyokuwa nayo wakati wanapanda ndege jijini Dar es Salaam.
Inasemekana mabegi hayo matatu yaliondoka na
Mangunga na kutokomea kusikojulikana...
Sunday, August 18, 2013
Ofisa JWTZ ahofiwa kutorokea Rwanda - *Adaiwa kutoweka na nyaraka nyeti
OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha, huku akiacha wingu la mashaka kwamba, hatua yake hiyo inaweza ikawa imeambatana na kupotea pia kwa baadhi ya taarifa muhimu za kijeshi.
Taarifa za kutoweka kwa ofisa huyo mwenye cheo cha luteni kanali, zinalihusisha tukio hilo na hatua za makachero wa JWTZ kufuatilia nyendo zake na zililifikia gazeti la MTANZANIA Jumapili kwa mara ya kwanza katikati ya wiki hii.
Vyanzo vya habari vya kuaminika vinaeleza kuwa, tayari maofisa wa JWTZ wameshaanza kufuatilia kwa karibu tukio la kutoweka kwa ofisa huyo, ambalo pia limezusha hali ya sintofahamu kwamba, huenda akawa ameondoka na nyaraka nyeti za kijeshi.
Kabla ya kutoweka ofisa huyo, ambaye nyendo zake zimekuwa katika darubini kali za makachero wa JWTZ, alikuwa akifanya kazi katika kitengo cha teknolojia ya mawasiliano ya kijeshi (IT).
Taarifa za kutoweka kwa ofisa huyo mwenye cheo cha luteni kanali, zinalihusisha tukio hilo na hatua za makachero wa JWTZ kufuatilia nyendo zake na zililifikia gazeti la MTANZANIA Jumapili kwa mara ya kwanza katikati ya wiki hii.
Vyanzo vya habari vya kuaminika vinaeleza kuwa, tayari maofisa wa JWTZ wameshaanza kufuatilia kwa karibu tukio la kutoweka kwa ofisa huyo, ambalo pia limezusha hali ya sintofahamu kwamba, huenda akawa ameondoka na nyaraka nyeti za kijeshi.
Kabla ya kutoweka ofisa huyo, ambaye nyendo zake zimekuwa katika darubini kali za makachero wa JWTZ, alikuwa akifanya kazi katika kitengo cha teknolojia ya mawasiliano ya kijeshi (IT).
Kwa hisani ya gazeti la Mtanzania, Jumapili 18, Agosti 2013
Saturday, August 17, 2013
Friday, August 16, 2013
Hatimaye Mwakyembe amfunga paka kengele sakata la uvushaji madawa kupitia JNIA.
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe amewafukuza kazi na kuliagiza jeshi la Polisi nchini kuwaunganisha na wengine kwenye kesi mahakamani ili kujibu mashitaka ya jinai, wale wote waliohusika katika kuuwasaidia Agnes Gerald na mwenzake Mellisa kupitisha dawa za kulevya kuelekea Afrika Kusini ambako walikamatwa katika kiwanja cha Ndege cha Oliver Thambo nchini humo. Waziri Mwakyembe ametoa agizo hilo leo, ofisini kwake, mbele ya waandishi wa habari wakati alipowaita ili kuufahamisha umma kuhusu hatua zilizochukuliwa na Wizara yake kuhusu suala la dawa za kulevya.
Tizama video kufahamu zaidi juu ya hatua hii
Rais Kikwete apokelewa na Rais Joyce Banda wa Malawi leo
Rais Joyce Banda wa Malawi akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete amuda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Lilongwe tayari kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za SADC leo
Thursday, August 15, 2013
Wauza unga 250 nchini watajwa
Majina ya Watanzania 255 wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya yamejulikana, na JAMHURI imeamua kuyachapisha. Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa kwenye orodha hiyo wamo watu maarufu na baadhi wamekuwa wakitoa misaada, huku wengine wakijifanya ni wazee wa kanisa na kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI, usio na chembe ya shaka, unaonesha kuwa orodha hii ya watu inayochapishwa hapa chini, kwa sasa wapo chini ya uangalizi wa Mahakama na Jeshi la Polisi nchini.
Watuhumiwa wengi ni wakazi wa Dar es Salaam, ingawa wamo wengine kutoka miji mikubwa ya Tanga, Zanzibar, Arusha na Morogoro. Aidha, idadi ya wanaume wanaoshiriki shughuli hiyo ndiyo kubwa.
Mkuu wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Godfrey Nzowa, amethibitisha kuwa watu hao 255 ni kweli wamewekwa chini ya uangalizi wa Mahakama na Jeshi la Polisi.
“Ni kweli, kuna watu tumewapeleka mahakamani. Huko wanawekwa chini ya uangalizi, wanatakiwa waripoti kwa muda wanaopangiwa. Tunafanya hivyo baada ya uchunguzi wetu kubaini kuwa kweli wanahusika na biashara hii haramu,” amesema Nzowa.
Nzowa amegoma kutaja majina ya watu hao, lakini uchunguzi uliofanywa na JAMHURI kutoka ndani ya Jeshi la Polisi na katika Mahakama umefanikisha kupata orodha ya majina hayo.
Katika orodha hii, yumo Mchungaji aliyewekwa chini ya uangalizi, na baada ya kumaliza muda huo siku tatu baadaye akakamatwa na dawa nchini Brazil. Pia yumo Sheikh anayetoa misaada mbalimbali, lakini baada ya kukamatwa na dawa kilo 211 eneo la Kunduchi, Dar es Salaam, kwa sasa amekimbilia nchini Afrika Kusini. Huyu ni mkazi wa Sinza maarufu kama Shikumba.
Dawa zinavyoingizwa nchini
Hadi sasa kiwango kikubwa cha dawa za kulevya kinaingizwa nchini kwa njia ya meli katika Bahari ya Hindi. Baada ya meli kuwasili Tanzania, wasafirishaji hutumia boti ndogo ziendazo kasi kuchukua dawa hizo na kuziingiza nchini. Maeneo yanayotumiwa zaidi kuingiza dawa ni Bagamoyo, Zanzibar, Dar es Salaam, Tanga na Mtwara.
Jijini Dar es Salaam, boti hizo hutia nanga katika eneo la Bagamoyo ambako pia ndiko kwenye njia kuu ya uingizaji bidhaa za magendo zisizolipiwa kodi. Biashara hiyo huwahusisha baadhi ya polisi ambao mara kadhaa wamekuwa wakiwapa ulinzi wahalifu hao.
Viwanja vya ndege vinavyotumiwa kuingiza dawa za kulevya ni vya Julius Nyerere (Dar es Salaam ) na Abeid Amani Karume (Zanzibar ). Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) unaripotiwa kuwa na matukio ya nadra ya matukio hayo.
Taarifa kutoka Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya zinasema wasafirishaji wanaotumia ndege wamekuwa wakibuni mbinu mbalimbali, zikiwamo za kutumia manukato kwa ajili ya kuwapumbaza mbwa wenye mafunzo ya kubaini dawa za kulenya.
“Wanatumia perfume, wanatumia kahawa kupaka juu ya mifuko walimoweka dawa hizo. Mbwa wanaponusa wanashindwa kubaini dawa kwa sababu kunakuwa na harufu ya manukato au ya kahawa,” amesema mmoja wa maofisa wa kitengo hicho.
Habari zaidi zinasema kitengo kimepata vifaa maalum vya kubaini kama ndani ya mzigo kuna dawa za kulevya. Vifaa hivyo ni mfano wa sindano ambayo huchomwa kwenye mzigo na kuipitisha kwenye ngozi ya mwili, kama kuna dawa ikigusishwa kwenye ngozi unga unapukutika na kama mzigo hauna dawa za kulevya hakuna kinachotokea.
Tayari vifaa hivyo vimeanza kutumika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na vimefanikisha ukamataji wa magwiji wengi.
Ifuatayo ni orodha ya wauza unga ambao Mahakama imewaweka chini ya uangalizi, kwa maana kuwa wanaripoti polisi kila wiki kutia saini kwenye kitabu maalumu na kuthibitisha kuwa wamejirekebisha au wameacha tabia hiyo.
MAJINA YA WAUZA ‘UNGA’
1 Mwaija Hussein
2: Ally Omar Issa
3: Huruma Elnaja
4: Michael Stanley
5: Mabunduki Mapunda
6: Dunia Seleman
7: Justine Theophil
8: Abdallah Mfundo
9: Mashaka Bakari
10: Subira Bakari
11: Islama Rashid
12: Dickson Anthony
13: Gati Maginga Kilanga
14: Munira Khamis
15: Maul Said Kaikai
16: Athuman Moshi Kassimu
17: Mwajuma Mrisho
18: Maison John Mateso
19: Minyori Ramadhan Mohamed Kungulo
20: Khamis Kassim Juma
21: Simon Philipo Milanzi
22: Juma Khamis (a.k.a. Wakupotezea)
23: Ally Abdallah
24: Happy Zacharia
25: Iddy Athuman
26: Mohamed
27: Julius Paschal
28: Evod John
29: Haji Maneno
30: Omary Ally Bweka
31: Mohamed Omary Khatibu
32: Hashim Mohamed Pongwa
33: Hery Jaffar
34: Ahmed Shebe Ameran
35: Iddi Maulid Shaweji
36: Khamis Omary
37: Ramadhan Omary
38: Ismael Yusuf
39: Juma Rashid
40: Kuruthum Hamad
41: Zakaria Mohamed Sasamalo
42: Abdallah Mussa Mshindo
43: Mohamed Abdul Tindwa
44: Mohamed Hashim Masheli
45: Akida Ernest
46: Hassan Athuman Naheka
47: Salehe Mohamed Abdallah
48: Stumai Chande
49: Batuli Adam
50: Raymond Gilbert Jungulu
51: Adam Godwin
52: Zidi Mselem
53: Kassim Ally Juma
54: Dyamwale Chizenga
55: Abdallah Juma Reani
56: Habibu Waziri Kipawa
57: Abdul Mohamed Mwaurwe
58: Amanzi Said Amanzi
59: Salum Zarafi
60: Billy Sohal
61: Shukuru Peter
62: Omary Mfundo
63: Salehe Hemed
64: Said Ismail
65: Monica Kulanga
66: Charles Mrisho
67: Mwanaid Athuman
68: Bruno Msuya
69: Kassim Said
70: Denis Charles
71: Hassan Mhando
72: Aclesy Haule
73: Salum Yusuf Kimwaga
74: Abedi Mfundo
75: Tunu Said
76: Fatuma Salehe
77: Mwajuma Salehe
78: Salum Khamis
79: Mbwana Mbaraka Mkanga
80: Daud Ally Chambuso
81: Ibrahim Ramadhan Mniga
82: Rozi Lukasi
83: Udugu Jumbe
84: Mohamed Kalota
85: Godwin Vitus Chacha
86: Eliasa Athuman
87: Mvano Ova Hussein
88: Mood Dudufued
89: Issa Dachi
90: Filbert Swai
91: Hussein Francis
92: Mirambo Hassan
93: Nasibu Abdallah
94: Tariq Salim Abass
95: Omary Said Mumomo
96: Zuberi Mwamba Mabruki
97: Abdallah Haji Mrisho
98: Khamis Athuman Khamis
99: Vodika Roosevelt
100: Dotto Shabani Mohamed
101: Twaef Mohamed Ghanim
102: Salum Hamis Ramadhan
103: James Benezeti Munishi
104: Rahim Abdul
105: Juma Stumai
106: Luti Elias
107: James John
108: Hussein Mbwana
109: George Renatus Masalu
110: Jamal Rashid
111: Asha Thabiti
112: Zaituni Abdallah – Mama Sued
113: Fatuma Juma – Mama Simba
114: Salama Juma
115: Juma Jamali
116: Juma Mussa
117: Abdulrahman Mbaraka
118: Maneno Said Kitungi
119: Mussa Salum
120: Hashim Ashirafu
121: Nyambuya Joel
122: Rashid Burhani Milanzi
123: Ally Mikidadi Ngunde
124: Mwijuma Ibrahim Kondo
125: Halifa Said
126: Shaban Said Makuka
127: Khamis Ramadhani Mgomba
128: Ruzuna Mwakasha
129: Rajabu Mohamed (Roger)
130: Athuman Chande
131: Shamin Azizi
132: Hashim Hashid Mashaka
133: Hussein Hamis
134: Ibrahim Rajabu
135: Mohamed Rajabu Mkali
136: Hatim Cheucheu Hungu
137: Hamis Uyoro (Kikoti)
138: Seif Hassan
139: Mnyamisi Mungia Khamis
140: Said Kisoka Said
141: Bakari Suleiman
142: Mwaita Mohamed
143: Asubisye Mwasumbi
144: Dalmat Jovin
145: Ally Rashid Dilunga
146: Mwinyi Seleman Mwachuo
147: Zinduna Ramadhan
148: Sanky Seleman (a.k.a Nzowa)
149: Karume Ngoi (a.k.a Karume)
150: Issa Thabit
151: Victor Patrick
152: Kiteguo Seif Ndumbikwa
153: Mbwana Mohamed (Liyobo)
154: Bonifasi Kulanga
155: Kidunda Omary
156: Amani Mavula
157: Mchola Bakari Majomba
158: Mohamed Simba Kassim
159: Asha Yusufu (Rasta)
160: Mshamu Njanga Abdallah
161: Zena Selemani Mwanaisha Abdallah
162: Ally Abdallah Pashua
163: Mbaruku Rashid Rajabu
164: Mohamed Jumbe Mohamed
165: Seleman Mohamed Masoud
166: Kabote Mfaume Kiboko
167: Selehe Hemed Lugongo
168: Muharami Mohamed Abdallah
169: Hatibu Nyamisi Nyangasa
170: Juma Alfan Hussein
171: Khariri Mohamed Khariri
172: Alfreda Anjelo Kulanga
173: Elly Hamis Mrisho
174: Iddi Haji Fumo
175: Ras Juma Ally
176: Ally Khatibu Haji
177: Hemed Juma Mrisho
178: Abdallah Hamza Said
179: Mohamed Noor Sheikh
180: Selemani Omary Zuberi
181: Hassan Masoud Ally
182: Akida Ayubu Akida
183: Bakari Abdurahman Bakari
184: Bashiri Mohamed Shallie
185: Jamal Rashid Ismail Mkoko
186: Ally Juma Said
187: Pili Ramadhani
188: Mosses Lwama
189: Mbaraka Shaban Muba
190: Richard Mbunda
191: Ayubu Mfaume Kiboko
192: Abbas Mohamed Hussein
193: Juma Hemed Tumbo
194: Sophia Joseph Ntembo
195: Said Hilal Abdallah
196: Thabit Juma Khamis
197: Suleman Bakari
198: Salum Abasi
199: Mustafa Omary Mwinyi
200: Alim Iddi Said Mwinyi
201: Othman Juma Othman
202: Shaban Kibwana Seif
203: Raymond Swift Mwakatwila
204: Abas Bachu Kasu
205: Jumanne Ramadhan Chambala
206: Irene Godfrey Mhina
207: Abdallah Abdurahman (Kidagaa)
208: Uwesu Ally Hussein
209: Zuberi Ally Mohamed
210: Khamis Seleman Khamis
211: Said Seleman Khamis
212: Mwarabu Bakari Mwarabu
213: Rajabu Shaban Juma
214: Ally Mohamed Seif
215: Mohamed Hassan Mkachika
216: Ally Bakari Mloli
217: Kelvin Daud Mchikinyi
218: Ally Mohamed Nyundo
219: Fatuma Juma (Mama Simba)
220: Shukuru Thabit Mtetwa
221: Mshamu Mjanga Abdallah
222: Zena Seleman (Mwanaisha Abdallah)
223: Ally Abdallah Pashua
224: Mbaruku Rashid Rajabu
225: Eliud Juma Mbwambo
226: James Patrick Mwangi
227: Hemed Abdallah Mwinyimvua
228: Juma Said Hussein
229: Haidery Mohamed
230: John Kauta
231: Mohamed Salehe
232: Doreen Josephat Urio
233: Richard Barnabas Mfundo
234: Soud Awadhi Mzee
235: Maneno Rajabu
236: Mdanzi Mjaja
237: Khalid Ramadhan
238: Soud Rasheed Soud
239: Issa Mangara Seid
240: Omary Salehe
241: Omary Ramadhan Yusuf
242: Mfaume Said Mugulo
243: Ramadhan Miraji Mkangata
244: Abdallah Nassoro Kimoko
245: 0mary Juma Mohamed
246: Ally Said Omary
247: Abdallah Nassoro (Kibwetere)
248: Mariam Yona M’ngata
249: Hussein Mohamed Hariri
250: Tom Juma Masoud
251: Frank Obed Shoo
252: Jaffar Kassim Jaffar
253: Karume Ngoi
254: Adamu Mohamed Monde
255: Liliani Kimei
Kutoka gazeti la Jamhuri.
Monday, August 12, 2013
Kwa nini Rais anyamazie siri hizi kuhusu dawa za kulevya?
Bofya na soma zaidi: http://raiamwema.co.tz/kwa-nini-rais-anyamazie-siri-hizi-kuhusu-dawa-za-kulevya
Saturday, August 10, 2013
Two British teens active in Jewish group attacked with acid in Zanzibar
Moja ya magazeti makubwa nchini Israel, Jerusalem Post, limeandika kuwa mabinti wawili wa Kiingereza walioshambuliwa kwa tindikali huko ZANZIBAR walikuwa wanaharakati na wanachama wa Shirikisho la Vijana wa Kiyunani (Federation of Zionist Youth). Kwa namna flani, ukaribu wao na harakati hizo za Kizayuni unaweza kuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea mabinti hao, Kirstie Trup na Katie Gee, kushambuliwa. Hisia iliyopo ni waliofanya shambulio hilo walisukumwa zaidi na 'kuwaadhibu Wayunani na marafiki zao,' kama ambavyo imekuwa ikitokea sehemu mbalimbali duniani. Inafahamika kuwa vikundi vyenye msimamo mkali wa Kiislam kama vile Al-Qaeda vimekuwa na uhasama mkubwa na Wayahudi...
Bofya na soma zaidi: http://www.jpost.com/Two-British-teens-active-in-Jewish-group-attacked-with-acid-in-Zanzibar
Friday, August 09, 2013
Monday, August 05, 2013
Jaji Francis S.K.Mutungi ateuliwa kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuchukua nafasi ya Mhe. John Tendwa aliyestaafu
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mheshimiwa Jaji Francis S.K.Mutungi (pichani) kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa.
Taarifa iliyotolewa Dar Es Salaam leo, Jumatatu, Agosti 5, 2013, na kutiwa saini na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue imesema kuwa uteuzi huo ulianza Ijumaa iliyopita Agosti 2, 2013.
Jaji Mutungi anachukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. John Tendwa ambaye amestaafu Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria.
Kabla ya uteuzi huo, Jaji Mutungi alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
Uchochoro wa kuvusha dawa za kulevya Dar es Salaam huu hapa
MFUMO
wa ukaguzi wa wasafiri na mizigo yao katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere (JNIA) umetekwa na sasa uko mikononi mwa matajiri na wanasiasa
wanaofanya biashara ya dawa za kulevya hapa nchini, MTANZANIA Jumapili
linaandika kwa uhakika.
Vyanzo vya habari vya kuaminika vilivyo ndani ya serikali vinavyofanya kazi
bega kwa bega na dawati la habari za siasa na uchunguzi la MTANZANIA Jumapili vimedokeza
kuwa, baadhi ya watoto wa viongozi wakuu wa nchi, wafanyabiashara wenye ukwasi
wa kutisha na wanasiasa wenye utajiri ambao umekuwa ukitiliwa shaka kwa muda
mrefu, wamebainika kuingilia mfumo wa kiitelejensia wa JNIA kwa kuupandikizia
watu ambao wamekuwa wakifanya kazi kwa maelekezo yao.
Ripoti ya uchunguzi wa kikachero iliyo mikononi mwa maofisa wa juu serikalini na ambayo waliinukuu katika mazunguzo yao na gazeti hili, inaeleza kuwa mtandao wa matajiri wauza dawa za kulevya umewaondoa wafanyakazi kadhaa watiifu waliokuwa katika kitengo cha ukaguzi wa abiria na mizigo cha JNIA na kupachika watu wao walio kwenye mfumo wa malipo wa wafanyabiashara wa dawa za kulevya.
Sambamba na hilo, walieleza kuwa kitengo cha kupambana na biashara ya dawa za kulevya nchini kimedhoofishwa na hata mbwa wa polisi waliokuwa wakitumika kukagua mizigo ya wasafiri wanaotumia uwanja wa JNIA wameondolewa katika mfumo wa ukaguzi na sasa watumika kwa nadra, hasa zinapovujishwa taarifa za usafirishaji wa dawa za kulevya ambazo hutolewa aghalabu wafanyabiashara hao wanapohitilafiana kibiashara na kuamua kuumbuana.
Taarifa hizi zimethibitishwa na kauli ya Mkurugenzi wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP) Godfrey Nzowa, ambaye katika mahojiano yake na MTANZANIA Jumapili, alieleza kuwa mtandao wa wafanyabiashara wa dawa za kulevya hapa nchini una pesa nyingi zinazouwezesha kufanya jambo lolote ili kufanikisha biashara hiyo.
Kamishina Nzowa, ambaye alitakiwa na gazeti hili kutoa taarifa ya uchunguzi kuhusiana na matukio hayo ya dawa za kulevya, likiwemo lile la Watanzania wawili waliokamatwa nchini Afrika Kusini wakiwa na kiasi kikubwa cha dawa za kulevya pamoja na uwezo wa kitengo chake wa kupambana na wauza dawa za kulevya, alisema kazi hiyo ina changamoto kubwa katika kufanikiwa kwake, kwa sababu inawahusisha watu wenye fedha nyingi hapa nchini.
Alisema, Watanzania wawili, Agnes Gerald (25) na Melisa Edward (24), waliokamatwa na kilo 150 za dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oliver Tambo nchini Afrika Kusini, Julai 5, mwaka huu, walifanikiwa kupita JNIA bila kugundulika kutokana na watu waliokuwa kwenye mashine za ukaguzi wa abiria na mizigo.
“Hawa Watanzania waliopita kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere na kukamatwa Afrika Kusini, waliweza kupita kwa sababu inategemea na watu waliokuwepo kwenye mashine za ukaguzi siku hiyo. Unajua hakuna ushirikiano wa karibu baina ya watendaji wanaohusika na udhibiti wa dawa za kulevya. Hilo ni tatizo kubwa linalosababisha vikwazo katika kupambana na mtandao wa dawa hizo.
“Sisi tunategemea kupata taarifa za wauza dawa za kulevya kutoka kwa watu, wakiwemo wakaguzi wa mizigo na abiria, hapo ndipo tunakwenda kumpekua mtu anayeshukiwa kubeba dawa hizo. Tunapopewa taarifa tunafanya ukaguzi, mbwa tunawanusisha, lakini mara chache kwa sababu wakati mwingine wanashindwa kugundua mizigo yenye dawa hizo iliyopuliziwa manukato au kunyunyiziwa kahawa,” alisema Nzowa.
Kamishina Nzowa pia alilalamika kukithiri kwa rushwa kwa watendaji ndani ya kikosi cha kupambana na dawa za kulevya pamoja na jamii kuwa ni jambo ambalo linasababisha kushamiri kwa biashara hiyo.
Ripoti ya uchunguzi wa kikachero iliyo mikononi mwa maofisa wa juu serikalini na ambayo waliinukuu katika mazunguzo yao na gazeti hili, inaeleza kuwa mtandao wa matajiri wauza dawa za kulevya umewaondoa wafanyakazi kadhaa watiifu waliokuwa katika kitengo cha ukaguzi wa abiria na mizigo cha JNIA na kupachika watu wao walio kwenye mfumo wa malipo wa wafanyabiashara wa dawa za kulevya.
Sambamba na hilo, walieleza kuwa kitengo cha kupambana na biashara ya dawa za kulevya nchini kimedhoofishwa na hata mbwa wa polisi waliokuwa wakitumika kukagua mizigo ya wasafiri wanaotumia uwanja wa JNIA wameondolewa katika mfumo wa ukaguzi na sasa watumika kwa nadra, hasa zinapovujishwa taarifa za usafirishaji wa dawa za kulevya ambazo hutolewa aghalabu wafanyabiashara hao wanapohitilafiana kibiashara na kuamua kuumbuana.
Taarifa hizi zimethibitishwa na kauli ya Mkurugenzi wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP) Godfrey Nzowa, ambaye katika mahojiano yake na MTANZANIA Jumapili, alieleza kuwa mtandao wa wafanyabiashara wa dawa za kulevya hapa nchini una pesa nyingi zinazouwezesha kufanya jambo lolote ili kufanikisha biashara hiyo.
Kamishina Nzowa, ambaye alitakiwa na gazeti hili kutoa taarifa ya uchunguzi kuhusiana na matukio hayo ya dawa za kulevya, likiwemo lile la Watanzania wawili waliokamatwa nchini Afrika Kusini wakiwa na kiasi kikubwa cha dawa za kulevya pamoja na uwezo wa kitengo chake wa kupambana na wauza dawa za kulevya, alisema kazi hiyo ina changamoto kubwa katika kufanikiwa kwake, kwa sababu inawahusisha watu wenye fedha nyingi hapa nchini.
Alisema, Watanzania wawili, Agnes Gerald (25) na Melisa Edward (24), waliokamatwa na kilo 150 za dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oliver Tambo nchini Afrika Kusini, Julai 5, mwaka huu, walifanikiwa kupita JNIA bila kugundulika kutokana na watu waliokuwa kwenye mashine za ukaguzi wa abiria na mizigo.
“Hawa Watanzania waliopita kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere na kukamatwa Afrika Kusini, waliweza kupita kwa sababu inategemea na watu waliokuwepo kwenye mashine za ukaguzi siku hiyo. Unajua hakuna ushirikiano wa karibu baina ya watendaji wanaohusika na udhibiti wa dawa za kulevya. Hilo ni tatizo kubwa linalosababisha vikwazo katika kupambana na mtandao wa dawa hizo.
“Sisi tunategemea kupata taarifa za wauza dawa za kulevya kutoka kwa watu, wakiwemo wakaguzi wa mizigo na abiria, hapo ndipo tunakwenda kumpekua mtu anayeshukiwa kubeba dawa hizo. Tunapopewa taarifa tunafanya ukaguzi, mbwa tunawanusisha, lakini mara chache kwa sababu wakati mwingine wanashindwa kugundua mizigo yenye dawa hizo iliyopuliziwa manukato au kunyunyiziwa kahawa,” alisema Nzowa.
Kamishina Nzowa pia alilalamika kukithiri kwa rushwa kwa watendaji ndani ya kikosi cha kupambana na dawa za kulevya pamoja na jamii kuwa ni jambo ambalo linasababisha kushamiri kwa biashara hiyo.
Chanzo:
Mtanzania Jumapili 4.8.2013
Saturday, August 03, 2013
Friday, August 02, 2013
Rais Kikwete amefuturisha wanamziki wa Bongo Fleva na wasanii wa Bongo Movie Ikulu, Dar es Salaam
Rais Kikwete akiwa na msanii wa filam (Bongo Movie) na mwanamziki wa Bongo Flava Hemed Suleiman
Kutoka kushoto kwenda kulia: Ali Kiba, Rais Kikwete na Abdu Kiba
Rais Kikwete na mkongwe wa Bongo Flava, Gwamaka Kaihula aka. King Crazy GK.
Rais Kikwete na mtangazaji wa Cloud FM TV, Mbwiga Mbwiguke
Rais Kikwete na Bongo Movie star na Bongo Flava; Zuwena Mohamed aka. Shilole
Mama Salma Kikwete akiwa na baadhi ya wanamziki wa kike wa Bongo Flava
Rais Kikwete akisalimiana na Chege. Kushoto ni Kassim Mganga
Rais Kikwete akisalimiana na mwanaBongo Fleva, Lawrance Malima aka. Marlow
Thursday, August 01, 2013
Waziri Mkuu wa Thailand, Bi. Yingluck Shinawatra aondoka Tanzania baada ya ziara yake ya siku tatu - Prime Minister of the Kingdom of Thailand H.E. Yingluck Shinawatra is given a rousing send off after concluding her three day state visit to Tanzania at the Julius Nyerere International Airport in Dar es salaam August 1, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)