Thursday, July 31, 2008

Breaking news!!

Kifo cha Wangwe:

Vurugu Maiti

Haijazikwa leo


Breaking news nimezipata hivi punde ni kuwa mwili wa Wangwe ulikabidhiwa kwa ndugu jana jioni !! nao wale ni professional kuna nduguye mmoja ni Daktari alikagua upya(yaani Postmortam) mwili usiku na kukuta risasi ktk kichwa cha marehemu ambayo inasemekana alipigwa mdomoni!!!

Hivyo basi muda wa mzishi ulipowadia Ndugu walikuwa mbogo na Mbeowe aliposhuka alitaka kuumizwa kama sio kuuwawa na wananchi wenye hasira Imebidi Mwili uondoke na polisi kwa mazishi hayafanyika!!

hiyo ni kutoka kijijini Kyamakorere kwa wakurya!!

Source: Alice Ngubwene, Dar es Salaam

NASAHA ZA MIHANGWA

Uraia wa nchi mbili

utaangamiza nchi,

uzalendo.


MNAOJALI kusoma historia na kazi za uandishi za watu wenye uchungu na nchi yao, msikieni Shaaban Robert katika shairi lake, “Fahari ya mtu”, akisema:

“Fahari ya kila mtu, kwanza ni taifa lake,
Kutimiza wake utu, afe au aokoe,
Pasipo hofu ya kitu, halipendi liondoke

Fahari ya kila mtu, ya pili nchi yake,
Mtu hakubali katu, kutawaliwa pake,
Hilo haliwi kantu, halina heshima kwake.

Fahari ya kila mtu, ya tatu ni nchi yake,
Kuwaye chini ya watu, wageni wa nchi yake,
Ni jambo gumu kwa mtu, japo vipi aridhikie,
Pasipo hofu ya kitu, hulipenda liondoke”.

Shaaban Robert.




Ni jambo la kuhuzunisha na kugadhabisha pia, kuona zama hizi, baadhi ya Watanzania wenzetu, hasa wanasiasa, wametekwa nyara na ubepari na mitaji ya kimataifa kiasi cha kupoteza uzalendo na moyo wa kuona fahari kwa taifa lao na kuabudu vya nje.

Na kwa kuwa Watanzania walio wengi hawana kiwewe na vya nje, wala fikra kwamba siku moja watafika au kuishi Ughaibuni; wananchi sasa wanaanza kuona ufa uliopo unavyozidi kupanuka kati yao na viongozi wao wenye kuabudu vya nje, badala ya kushikamana na wanaowaongoza kwa matatizo, mafanikio na kwa kila kilicho cha nchi hii.

Bofya na endelea>>>>>



Kiula amvaa Chenge



na Kulwa Karedia


ALIYEKUWA Naibu Waziri wa Ujenzi katika serikali ya awamu ya tatu, Nalaila Kiula (pichani), amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumuondoa Mwenyekiti wa Maadili wa chama hicho, Andrew Chenge kwenye wadhifa huo, hadi tuhuma zinazomkabili zitakapopatiwa ufumbuzi.

Mbali ya kumtaka Chenge kuondolewa kwenye wadhifa huo, Kiula pia ametaka viongozi wa juu wa CCM wanaotuhumiwa ufisadi, wasimamishwe mara moja kuhudhuria mikutano yote ya juu ya chama hicho.

Akizungumza na Tanzania Daima katika mahojiano maalum Dar es Salaam jana, Kiula alisema hatua ya Chenge kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Maadili ndani ya CCM huku akikabiliwa na tuhuma za ufisaidi, hakutoi picha nzuri kwa jamii.

“Ni wakati mzuri sasa kwa CCM kuhakikisha wanamweka kando kwanza mwenyekiti wao wa maadili, ndugu Chenge kutokana na tuhuma zinazomkabili kwanza, hadi uchunguzi dhidi yake utakapokamilika,” alisema Kiula.

Alisema kitendo cha CCM kuendelea na kiongozi huyo bila kuchukua hatua zozote, kinaonyesha wazi kwamba vita dhidi ya ufisadi ni ngumu.

“Huwezi kuendesha vita dhidi ya ufisadi kama wale wanaotuhumiwa, ndiyo viongozi wa maadili ndani ya chama, litakuwa jambo la busara kama tukisikia kwamba CCM wamemweka kando hadi uchunguzi utakapokamilika,” alisema Kiula.


Bofya na endelea>>>>>


Wanawake wengi wa

Kitanzania waikana

nchi ili kuolewa nje



Na Ramadhan Semtawa, Dodoma

TAKWIMU za serikali kwa mwaka 2007/08 kuhusu taratibu za uraia zimetoka zikionyesha wanawake wa Kitanzania wanaongoza kwa kuukana uraia wao ili waolewe nje.

Akiwasilisha hotuba ya bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo

ya Ndani kwa mwaka 2008/09, Waziri Lawrence Masha, alisema katika kipindi cha mwaka

2007/08 jumla ya Watanzania 63 waliukana uraia kati yao wanawake ni 50.

Masha alisema idadi hiyo ni sawa asilimia 74.9 ya walioukana uraia na kuongeza

kwamba wanaume walikuwa 13 sawa na asilimia 20.9.

Kuhusu idadi ya vijana wazamiaji nje, alisema kumekuwa na ongezeko la wazamiaji

hadi kufikia 382 mwaka 2007/8 kutoka 193 mwaka 2006/07.

Alisema wazamiaji hao vijana husingizia kwamba, wanakwenda kutafuta maisha bora




United Republic of




Adamu Lusekelo

I first thought that the on-going blah blahing between politicians of the different sides of the political divide in Mainland and Zanzibar would go away. It was too petty to warrant any attention. But, as you know, politicians love attention. They have made it an issue. I haven't. I find it too silly, to be given such attention.

All I know is if some politicians in the islands want out they should be given that opportunity. Let's ask the people of the Zanzibar and Pemba sister islands. Over the years, I have had no problems with unions, especially with my chicks. If they want out, I let them opt out. You can't force someone to love you.

If some politicians in Zanzibar (nchi) want to be called a country otherwise they will commit ‘hara kiri’, then let’s call them 'nchi'. In fact I suggest that we should even call Zanzibar 'nchi' twice. The name should be Nchi Zanzibar Nchi! That way the united republic will be rid of this nonsensical debate. The United Republic has mega problems.

We cannot get water in Dar. I haven't heard anything from the Bunge. Zanzibar has been in the dark for almost two months. I have yet to hear of anyone in the House of Reps fiercely coming down on the Revolutionary Government in Zenj. Our country is being looted left, right and centre by a cabal of politicians in collusion with international 'investors'.





Man threatened to

blow up sheriff's

office in Lørenskog



All buildings within 300 meters of the parked car were evacuated.
Photo: TV Norge.


Police in Lørenskog, just northeast of Oslo, were faced with a dramatic situation Wednesday after a man parked his car outside the local sheriff’s office, claimed it was full of explosives and threatened to blow the building to bits.

All buildings within 300 meters of the parked car were evacuated, including parts of the Metro shopping center and a local ICA grocery store.

Police back-up was called in, including a bomb squad from Oslo. Police negotiators engaged the man in conversation until he finally was arrested around 2pm.

Police confirmed later that there was a bomb in the car, and that it could have done "considerable damage."

The man's motive was unclear and police wouldn't comment. The man, in his 30s, is from the Lørenskog area and reportedly had a police record.

Aftenposten English Web Desk

'Cycled for his life,'

with a moose on

his heels



Asbjørn Larsen was out riding his bicycle in the forest northwest of Oslo when he suddenly was confronted by an angry moose that started chasing him.

A moose started chasing 83-year-old Asbjørn Larsen in the forest on Oslo's northwest side.

PHOTO: SVEIN ERIK FURULUND


IF YOU MEET A MOOSE
Keep your distance Moose are generally shy but can occasionally be aggressive. Never go nearer if you meet a moose (called elg in Norway). Even 50 meters can be too close. If the moose looks at you with a raised head and ears standing up, if hasn't decided whether to stand still or flee. Calmly back away.

Back off quickly if the moose holds its head low and has pulled back its ears. Those are signs the moose is ready to attack. Experts warn that it's nearly impossible for a human to outrun a moose.

Be especially careful if you meet a moose with calves. They can be defensive and aggressive as they try to protect their offspring. Never go between a moose and her calves. That will antagonize the moose and lead to a dangerous situation.

Call wildlife authorities viltforvaltningen if you spot a moose in residential or urban areas.

"I don't dare think of what would have happened if I'd had to cycle uphill," Larsen told newspaper Aften. "I probably wouldn't have been able to have enough speed."

The drama began when the active 83-year-old was cycling on one of the gravel roads leading into the forest beyond Skansebakken in Sørkedalen. Skansebakken is the last stop on an Oslo bus line and a popular starting point for skiing in the winter and cycling or hiking in the summer.

Larsen had heard some mysterious grunting noises from behind trees along the road but only later realized it must have been a moose cow irritated by his cycling. Female moose with calves are highly defensive at this time of year, because offspring born in May or June aren't yet able to fend for themselves.

"Suddenly the moose was standing before me on the road, demonstratively, as if she'd decided that she wasn't going to let me ride by," Larsen said.

Larsen, closing in fast on the moose, tried to scare her off by yelling "go back to the woods," but that only made the moose more angry.

"I shouldn't have done that, because the moose snorted, tramped her foot on the ground and started coming at me," Larsen said. He quickly turned around "and just started cycling for my life."

He said he kept cycling as fast as he could for around 10 minutes before he dared to look behind him. Then the moose was gone.

Lasse Henriksen of the local parks and recreation agency (Friluftsetaten) said the moose attack was probably due to the presence of a young calf in the area. "Moose cows will always stand and defend her calf," Henriksen said. He thinks Larsen unknowingly came between the calf and its mother.

He agreed that Larsen shouldn't have tried to scare off the cow. "If you provoke a moose, it will probably go on the attack," Henriksen.

Aften's reporter
Martin Lerberg Fossum

Aftenposten English Web Desk
Nina Berglund

Wednesday, July 30, 2008

Kalamu ya Mwigamba





Samson Mwigamba

MHESHIMIWA Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, salaam aleykum. Juma lililopita niliwasiliana na Watanzania wote kwa njia hii ya makala. Nilijaribu kuwachokonoa ili kupata mawazo yao juu yako.

Na kwa bahati nzuri nilikuwa nimeongea moja kwa moja na Watanzania wote wakiwamo wasaidizi wako muhimu. Na ili kuwahakikishia kwamba niliwalenga na wao pia niliamua kuwataja kabisa pale niliposema, “Yote kwa yote ni kwamba kila mtu anajua sasa Rais Kikwete uwezo wake wa kuliongoza taifa na chama chake umepungua.

"Ninaamini ndani ya dhamiri yangu kwamba hata wasaidizi wake, wakiwamo usalama wa taifa, mawaziri na manaibu mawaziri, wanamtandao na wapambe wake, wabunge, viongozi wenzake ndani ya chama, watendaji wake serikalini na wasaidizi wake wengineo wote wanajua hili”.

Nilifanya hivyo kwa makusudi ili kupata maoni yao juu ya hili. Nawatambua sana wasaidizi wako. Ni watu mahiri sana kwa kulinda maslahi yao na ya wakubwa wao. Nilijua watanijibu haraka haraka kwa kukanusha ukweli huo mdomoni huku mioyoni mwao wakiutambua. Lakini hawakufanya hivyo. Hii inathibitisha kwamba hata wao ukweli uliwagusa na wamefikia mahali ambapo hawawezi kupingana nao.


na

‘uhuru wa kujiua’




Na Rehema Kimvuli

WAZAZI wengi wa Tanzania wamekuwa wakikimbilia kupeleka watoto kusoma katika shule zilizo nje ya nchi hasa Uganda, bila kufuatilia wasifu wa ndani na nje wa shule hizo.

Ukiwauliza kwa nini wanawapeleka watoto wao wadogo, wa kati ya miaka mitano na 18, utaambiwa kuwa ni kwa ajili ya kupata “elimu bora.”

Wazazi wengi wa Tanzania wanaamini Uganda kuna elimu bora zaidi. Kisa? Eti watoto wao wanaporudi nyumbani wanakuwa wanaongea Kiingereza kizuri, tena kilichonyooka na bila kigugumizi!

Hivi tujiulize elimu bora ni kuzungumza Kiingereza au ni kuelewa ulichofundishwa na kukifanyia kazi kwa manufaa yako binafsi najamii?

Sisemi kuwa siyo muhimu kujua kusoma, kuandika na kuongea Kiingereza. Nasema lugha hiyo isiwe sababu ya kuwapeleka watoto nje ya nchi wakiwa bado wanahitaji malezi ya wazazi.

Kuna wafanyakazi wengi waliopo maofisi hapa Tanzania wanaofanya kazi zao kwa ufasaha; hakika kama inavyotakiwa ingawa hawajui Kiingereza kwa ufasaha.

Hata hivyo, wazazi wanaopeleka watoto wao nchini Uganda, sijui kama wamekuwa wakifuatilia maendeleo yao wawapo huko.


Vitisho vya kumalizana miongoni mwa viongozi waandamizi wa siasa na serikali nchini, hali ngumu ya maisha, ushirikina na usfisadi ni mambo ambayo yanamfanya Rais Jakaya Kikwete kuwa njia panda, Uwazi limegundua.

Ugunduzi huo umekuja baada ya wachambuzi wetu wa mambo ya kisiasa kubaini kuwa tangu nchi yetu ipate uhuru haijawahi kutokea viongozi waandamizi wa vyama na serikali kutishia kumalizana hadharani ama kimaisha, kisiasa au hata kiuchumi .

Viongozi ambao anawaongoza waliotishia kufunguliana kesi ni pamoja na Andrew Chenge aliyeahidi kumfikisha katika vikao vya chama, Spika Samuel Sitta kutokana na madai ya kudaiwa kupeleka uchawi bungeni, Basil Mramba na Grey Mgonja waliotishia kumfikisha mahakamani Katibu Mkuu wa Chadema, Wilbroad Slaa kwa madai ya kuwahusisha na ufisadi.

Uchotwaji wa fedha za Mfuko wa Madeni ya Nje (EPA) uliofanywa na vigogo ambao majina yao ni siri kwa vyovyote unamuumiza kichwa rais pia mkataba wenye utata wa Kampuni ya Umeme ya Richmond ni tatizo lingine ambalo limemsababishia kuteua Waziri Mkuu mwingine baada ya aliyekuwa akikalia, Edward Lowassa na mawaziri wawili, Nizar Karamagi na Dk. Ibrahim Msabaha kujiuzulu Februari 7, mwaka huu.

Dr Asha Rose Migiro:

No direct UN mandate

on saga over


`statehood`



By Juma Ng`oko, PST, Mwanza

The Deputy Secretary General of the United Nations, Dr Asha-Rose Migiro, has said the UN secretariat has no direct mandate to deal with the raging controversy over the ``statehood`` of Zanzibar.

She said this was because the world body places a premium of national unity but it has no powers to interfere with the internal affairs of any country.

Dr Migiro made the comments at a news conference here yesterday at which she addressed a wide range of issues, including whether the UN could help in resolving the controversy over the ``statehood`` of Zanzibar.

``The United Nations always encourages unity. It recognises the United Republic of Tanzania as one of its member states, as a single entity, and not as a nation divided into the mainland and Zanzibar.

The controversy can best be resolved by the people and leaders of Tanzania,`` explained Dr Migiro.

The country`s immediate former Foreign Affairs and International Cooperation minister said the UN had the obligation of continuing to extend technical, advisory and other support to all its member countries.

Her comments followed Prime Minister Mizengo Pinda`s recent remarks in the National Assembly in Dodoma that, according to the constitution of the United Republic of Tanzania, the Isles are an integral part of the Tanzanian state and are not a sovereign state.

Pinda`s remarks touched off heated debate in both the National Assembly and the Zanzibar House of Representatives.

The PM has since stated that it was now for the ruling CCM and the Union Government and Zanzibar attorney generals to make a definitive stand on the matter.

The Speakers of both the National Assembly and the Zanzibar House of Representatives have barred legislators from debating the matter any further but some have defied the order.

  • SOURCE: Guardian (Tanzania)

Na Maggid Mjengwa.

Watanzania wengi wana kiu ya kutaka kujua zaidi juu ya mtu huyu Barack Obama. Huo ni mchango wangu. Ni baada ya kusoma vitabu viwili vya Obama; Dreams From My Father na The Audesity Of Hope.




Tuesday, July 29, 2008

Govt called on to

explain why it invaded

MwanaHALISI

premises


By Patrick Kisembo, Dodoma

The Opposition has demanded an explanation from the government over invasion of MwanaHalisi newspaper offices and its executive director`s residence, by the police recently.

Presenting the camp`s view on Information, Culture and Sports ministry in Parliament yesterday, the shadow minister, Mwanawetu Said Zarafi, said many leaders have of late directed their blames over MwanaHalisi newspaper and its managing editor, Saed Kubenea.

``In the first incident, unknown people invaded MwanaHalisi offices and attacked Kubenea by splashing unidentified chemicals believed to be acid on his face.

As if that was not enough, the government through its apparatus, the police, recently went to search the offices of the newspaper and the residence of Kubenea, without revealing their objective,`` she said.

Zarafi said it was clear the police did not follow proper procedures, rules and regulations when they were searching MwanaHalisi office and Kubenea`s house.

``Should we then, conclude that the police are above the law? Even if they had a search warrant provided by the court, that was not the procedure.


Sumaye atoa siri


WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ametoboa siri nzito ya Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, jinsi alivyomteua mara mbili kuwa waziri mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na kuwa waziri mkuu pekee aliyelitumikia taifa kwa mihula miwili mfululizo.

Sambamba na hilo, Sumaye alisema kwa jinsi mambo yanavyokwenda nchini, anamshukuru Mungu kwamba alishindwa katika Uchaguzi Mkuu wa rais wa Jamhuri ya Muungano.

Sumaye alisema hayo juzi katika mahojiano maalumu na kipindi cha ‘Jicho Letu’ wiki hii, kinachorushwa hewani na kituo cha redio cha Clouds FM. Mahojiano hayo ya Sumaye, yanatarajiwa kurushwa na kipindi hicho Jumamosi ijayo.

Bila kufafanua kwa undani, Sumaye alisisitiza kuwa kwa jinsi hali ya mambo inavyokwenda kiuchumi, kisiasa na kijamii, hajutii kabisa kuikosa nafasi hiyo iliyokutanisha wagombea wengine 11 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hatimaye Rais Jakaya Mrisho Kikwete, kuibuka mshindi.

Katika mahojiano hayo, Sumaye alitoboa siri ya mshituko alioupata siku alipoitwa na Rais mstaafu Mkapa, na kujulishwa nia ya kutaka kumteua ili awe waziri mkuu.

‘‘Kusema ukweli, sikuwa na habari hadi saa 7:30 ya siku ya uteuzi, ndipo Rais Mkapa aliponidokeza nia yake ya kutaka niwe waziri mkuu. Sikutegemea wala sikuota kama naweza kuwa waziri mkuu na hakuna mtu yeyote aliyejua mpango huo, kwani hakuna habari zilizovuja kabla,” anasema.

Alisema siku hiyo, akiwa nyumbani kwake amejipumzisha, alipata taarifa za kuitwa Ikulu na Rais Mkapa.

‘‘Wala sikutegemea habari ya kuwa waziri mkuu, maana hata Mkapa mwenyewe sikuwa nimezoeana naye,” alisema.






Mchakato vazi la

taifa wakamilika



Angela Semaya, Dodoma

Daily News
; Tuesday, July 29, 2008 @00:05


Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo imesema imekamilisha mchakato kuhusu vazi la Taifa na kwamba itawasilisha rasimu katika baraza la mawaziri kwa ajili ya uamuzi.

Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Kapteni George Mkuchika alisema hayo bungeni mjini hapa jana wakati akiwasilisha hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2008/2009.

Alisema rasimu ya waraka wa Baraza la Mawaziri kuhusu vazi la taifa imeshakamilika na kwamba kinachosubiriwa ni kuwasilishwa kwenye baraza la mawaziri kwa ajili ya kufanyia uamuzi.

“Hoja ya kuwapo vazi la taifa letu ni muhimu ndio maana sasa wizara yangu imedhamiria kuufikisha mchakato wa kutafuta vazi la taifa kwenye hitimisho lake,” alisema. Mkuchika alisema mchakato wa kutafuta vazi la taifa ulianza mwaka 2003 kwa kuwashirikisha wabunifu wazalendo na kwamba mwaka 2004 mashindano yalifikia ngazi ya taifa na mavazi 10 bora kwa wanaume na 10 kwa wanawake yalichaguliwa.

Norwegian motorists

looses driving licences

than ever before!




The Norwegian police is focusing more on serious traffic offences, and have suspended a record number of driving licences so far this year.

In the first seven months, 3038 drivers have had their permit revoked. This is 14 per cent higher than at the same time last year, says Chief of the Central Highway Police, Odd Reidar Humlegaard.

We hope the drivers will realize that their own behaviour is the most important contribution in the effort to reduce the number of killed or seriously injured on the roads, Humlegaard says.




CHACHA WANGWE

AFARIKI DUNIA!



Mbunge wa Tarime, kwa tiketi ya CHADEMA, Mh. Chacha Wangwe, amefariki dunia usiku huu katika ajali ya gari. Habari zinasema kuwa marehemu alipata ajali eneo la Kongwa Dodoma akitokea Dodoma Bungeni. Hivi sasa maiti yake imehifadhiwa katika hospitali ya mkoa, Dodoma.

Monday, July 28, 2008


BoT probes dubious legal

fees to Mkono law firm



Auditors also query Malegesi legal fees 8 law companies short-listed to take over

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

THE Bank of Tanzania (BoT) has begun an official investigation into highly-questionable legal fees amounting to more than 8bn/- paid to Mkono & Company Advocates after terminating the services of the Dar es Salaam law firm effectively from January this year.

Sources have told THISDAY that the move is based on auditors’ recommendations to the BoT board of directors, stemming from serious audit queries on the legal fees paid to the Dar es Salaam-based law firm owned by Musoma Rural Member of Parliament on a CCM ticket, Nimrod Mkono.

Siri za maisha ya wabongo

ughaibuni zafichuka



Na Mwandishi Wetu

Staili ya maisha ya Watanzania wanaoishi Ulaya na nchi nyingine za ughaibuni ni starehe tupu.
Uchunguzi, uliofanywa na gazeti hili kwa kuongea na baadhi ya Wabongo waliotembelea nchi za mbali pamoja na ufuatiliaji wa karibu wa matukio katika mitandao ya intaneti, unaonesha kwamba Watanzania hasa wanaioshi Ulaya, maisha yao yamejaa anasa...

Barack Obama Speech

from Berlin, Germany

some days ago...






Mtu adaiwa

kufufuka



Na Patrick Chambo, PST Hai, Kilimanjaro

Mamia ya wananchi katika Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, wameshikwa na butwaa baada ya kumuona msichana aliyedaiwa kufariki dunia takriban miaka mitatu iliyopita akiranda randa mitaani.

Tukio hilo la aina yake, lilitokea katika kijiji cha Machame Mkuu, mkoani Kilimanjaro na msichana huyo anayedaiwa kufa na baadaye kukutwa akitembea mitaani ametajwa kuwa ni Neema Mushi, mkazi wa kijiji hicho.

Aidha, habari zilizopatikana kijijini hapo zilisema kuwa, binti huyo alisema kuwa alikuwa akiishi Tanga.

Mchungaji Elimfoo Mushi wa Usharika wa Machame Mkuu, alisema ndiye aliyeendesha ibada ya kumuombea Neema ambaye mwili wake ulifikishwa kanisani hapo.


Sunday, July 27, 2008






Suala la




Ni mgogoro wa

Katiba ya nchi



na Mwandishi Wetu

SASA ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa kikatiba nchini.

Hatua hii inatokana na msimamo uliotolewa juzi na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), ukipinga ule wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba Zanzibar si nchi, kama ambavyo inaelezwa katika Katiba ya Muungano.

Kwamba nchi imeingia katika mgogoro huo, ilithibitishwa na wanasheria kadhaa na watu wengine waliozungumza na gazeti hili jana na kuonya kuwa, suala hili sasa limefikia mahali pa kulazimisha uwepo mjadala mpana na wa wazi, kwa mustakabali mwema wa Tanzania.

Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Mhadhiri katika Kitivo cha Sheria, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Sengondo Mvungi, alisema kitendo cha SMZ kutangaza msimamo unaokinzana na Serikali ya Muungano, ni sawa na kutangaza mgogoro wa kikatiba.

Akizungumza katika baraza la wawakilishi juzi, Naibu Waziri Kiongozi, Juma Ali Shamuhuna, bila kujali tamko la Katiba ya Muungano, alisisitiza kuwa Zanzibar ni nchi, na itaendelea kuwa nchi milele.


Kiingereza shuleni

ni kwa faida yetu sote



Hiki ndicho Kiingereza tunachokitaka? (Maoni ya mhariri wa blogu hii)


James Jesse

NIMEKUWA nikifuatilia mjadala usio rasmi kuhusu matumizi ya lugha ya Kiingereza katika kufundishia katika shule za msingi, sekondari au hata vyuo vya elimu ya juu.

Katika mjadala huu yamejikita makundi makubwa mawili - maoni kuwa Kiingereza shuleni kwa faida ya nani? (mfano, Irene Mark, Tanzania Daima, Jumatano Julai 8, 2008).

Kundi hili halioni umuhimu wa kutumia Kiingereza ambacho kimeonekana kuwa kigumu kueleweka na kutumika na Watanzania walio wengi.

Kundi la pili ambalo najiunga nalo bado linaona kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kutumia lugha ya Kiingereza.

NASAHA ZA MIHANGWA



Joseph Mihangwa

Uongozi umeigeuza

nchi yetu

shamba la bibi


“DUNIA ni jukwaa (la michezo ya kuigiza) ambapo kila mmoja hucheza nafasi yake kwa zamu…” (William Shakespeare katika Mfanyabiashara wa Venice).

Utawala wa nchi ni jukwaa la mchezo wa kuigiza ambapo kila mtawala huingia na kutoka kwa zamu (kupokezana vijiti?) baada ya kuigiza sehemu yake; lakini nchi na watu ni wa kudumu .

Chini ya utawala mzuri au mbaya wanaonufaika au kuathirika ni nchi na wananchi. Ndiyo maana, kwa kutambua hili, Serikali na watawala wamewekewa mipaka ya kikatiba. Mfano, hapa kwetu, Katiba inatamka wazi kwamba, “… Wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa wananchi kwa mujibu wa Katiba” (ibara 8 (1) (a) ) ; na pia kwamba, “Serikali itawajibika kwa wananchi “ (Ibara 8 (1) (c)) .




Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Mpenzi Frank,


VIPI mpenzi wangu? Yaani ninavyokaa mbali na wewe nakumic kuliko maelezo. Nilalapo nakumbatia mto nikijaribu kujidanganya nakukumbatia wewe.

Niamkapo na kujikuta peke yangu kitandani, naumia roho vibaya sana hadi natupa mto. Na ni hapo tu natamani itokee miujiza uibuke papohapo. Hata kumwomba Mungu namwomba ingawa najua haiwezekani.

Najua pia utanicheka mpenzi wangu maana ujinga huo haupendi kabisa. Lakini ni kwa sababu ya kukumic tu, na hata hivyo, nitakuwa nina tofauti gani na Watanzania walio wengi? Si uliwasikia wale ambao walipiga kambi uwanja wa ndege bila pesa wala pasi, bila tiketi wala kibali cha kufika majuu eti Mungu kawatuma kwenda Ulaya?


Saturday, July 26, 2008



Nchi kamili..

Serikali ya mapinduzi

Zanzibar yasema!!!!


*Yasisitiza ni nchi, muda wa kudhibitiana umepita
*Shamhuna, Raza wahoji nafasi ya Tambwe ndani ya CCM
*FIFA yapigilia msumari yasema haiitambui kama nchi


Na Ali Suleiman, Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesisitiza kwamba Zanzibar ni nchi kamili na itaendelea kuwa hivyo na zama za kutishana na kutaka kudhibitiana katika hilo, zimepitwa na wakati.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Naibu Waziri Kiongozi, Bw. Ali Juma Shamuhuna, wakati akijibu hoja mbali mbali za wajumbe wa Baraza la Wawakilishi waliochangia makadirio ya matumizi ya Wizara ya Habari, Utangazaji na Michezo kwa mwaka wa fedha 2008/9.

Wajumbe wa Baraza waliochangia makadirio hayo walitaka kusikia tamko la SMZ katika suala hilo, ambalo limekuwa mjadala mkubwa uliotawala hivi sasa nchini.

Bw. Shamuhuna alisema alikemea vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watu wakitaka mjadala huo kusitishwa na wengine kusema kujadili suala hilo ni sawa na uhaini.

"Nani wa kuwadhibiti wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika suala hili ... enzi za vitisho na kutaka kudhibitiana zimepitwa na wakati, suala hili waachiwe Wazanzibari wenyewe kulijadili," alisema Bw. Shamuhuna.


Na Christopher Lissa

Mama mzazi wa mwanamuziki, Khaleed Mohamed ‘Top In Dar-TID’ Alhamisi ya wiki hii, alishindwa kuzungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake kutokana na kile kilichodaiwa na ndugu zake kuwa yu taabani kufuatia kifungo cha mwaka mmoja jela alichohukumiwa mwanae...



sio nchi-FIFA


By Somoe Ng'itu

Shirikisho la Kimataifa la Soka, FIFA, jana limekata kidomodomo cha ZFA, Chama cha Soka cha Zanzibar, kwa kusema kuwa Zanzibar sio nchi, ila ni sawa na mkoa wa Arusha hivyo haustahili kupata mgao wa fedha zinazotolewa na shirikisho hilo kila mwaka kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchini.

FIFA kila mwaka hutoa dola za Marekani 250,000 na ZFA imekuwa ikilalamikia Shirikisho la Soka Tanzania, TFF, kuwa hailipwi sehemu ya pesa hizo.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Maendeleo wa FIFA katika nchi za ukanda wa Kusini mwa Afrika, Ashford Mamelodi alisema kuwa fedha hizo zinatolewa kwa mipango maalum na utekelezaji wake unakuwa chini ya usimamizi wa TFF ambao ndio wanachama wanaotambuliwa na shirikisho hilo na sio ZFA.

Mamelodi alisema kuwa fedha hizo hazitolewi kwa vyama kwa ajili ya kugawana na hutolewa kwa malengo maalumu ya kuendeleza soka ambayo yanakuwa yameanishwa na baada ya utekelezaji wake FIFA huhitaji maelezo.

``FIFA inafanya kazi na TFF na Zanzibar ni kama Arusha au Kigoma ambayo ni sehemu ya Tanzania hivyo tutaendelea kuipatia fedha TFF na kupata maelezo ya matumizi kutoka kwao na si vinginevyo,`` alisema Mamelodi.

Aliongeza kuwa FIFA inaridhishwa na utekelezaji wa programu za maendeleo zinazofanyika hapa nchini na kusema kuwa hali ilivyokuwa mwaka 2004 kurudi nyuma sasa imebadilika.

Pia kiongozi huyo ambaye alikutana na wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF aliwataka kuangalia upya mipango yake ya muda mrefu na kuiboresha ili kupata mafanikio.

Aliwataka viongozi wa TFF kuendeleza walipofikia na kuwa mfano wa mabadiliko katika nchi za Afrika na kuongeza kuwa ndio nchi pekee ambayo inatolewa mfano kwa kubadilika na kuwa nchi ya kwanza kuanza kutekeleza maelekezo ya FIFA katika bara la Afrika.

  • SOURCE: Nipashe

The world's largest

soccer tournament

opens



What has become known as the world`s biggest soccer tournament, the Norway Cup, kicks off in Oslo on Sunday, and 30,000 young boys and girls from the age of 10 to 19 from 50 nations will fight for a place in the prestigious finals at Bislett stadium next Saturday.

It is the 36th time the tournamant is being held, a tournament known for bringing people from around the world together for a week of fun and sportsmanship.

This year, 1386 teams participate in the Norway Cup, coming from as far away as Uruguay, China, Vietnam, Brazil , the US, South Africa and Zimbabwe.

Most of the tournaments 4000 matches are played at Ekeberg, on a plateau overlooking the city, while other games are played on smaller fields around Oslo, more than 60 stadiums are used.

Girls participated in Norway Cup right from the beginning in 1972. This was quite extraordinary, even for a country in the forefront concerning women’s rights, like Norway. The Norwegian Football Association (NFF) recognised women’s football officially 4 years later, in 1976.

Every year 20-30 teams from underprivileged areas are invited to participate in the Norway Cup, which cooperates with a number of organisations in bringing the teams to Norway and providing free board and lodging for the week.

In the 80s Norway Cup started an aid project in Tanzania together with the Norwegian Football Association, NFF. It was one of the first sports projects in the third world. The efforts were directed at the disabled, says NC secretary general Frode Kyvåg. In 1989 a new project saw the first light, MYSA, Mathare Youth Sports Association in Kenya. It all started with 15 to 20 youths from the slums of Nairobi. Today it is a movement consisting of more than 15.000 young people who not only play football, but are involved in projects like the fight against AIDS. As it is Mathare has become one of the best football clubs in Kenya.

Source: NRK/Norway Cup.

Friday, July 25, 2008

Walimu 250 wa

Kiswahili wahitajika

Nigeria



JIBU LA SWALI LA MBUNGE JIMBO LA KALAMBO

Mhe. Ludovick Mwananzila (CCM)

na Irene Mark, Dodoma

KWA miaka minne sasa, serikali inatafuta walimu 250 wenye sifa za kutosha kufundisha Kiswahili nchini Nigeria.

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Joel Bendera, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kalambo, Ludovick Mwananzila (CCM), aliyetaka kujua iwapo serikali imekubali ombi la Rais Olusegun Obasanjo wa Nigeria kutaka walimu wa Kiswahili.

“Kwa kuwa imepita miaka minne sasa tangu Rais wa Nigeria, Obasanjo, alipoomba walimu 250 wa Kiswahili kwa ajili ya shule zake, serikali imefikia wapi hadi sasa?” aliuliza mbunge huyo.

Katika majibu yake, Bendera alisema bado serikali haijawapeleka walimu hao kwa sababu inaendelea kuwatafuta wenye sifa na uwezo wa kufundisha Kiswahili kwa ufasaha.

Aidha, alikiri kwamba serikali imepokea maombi ya walimu zaidi ya 1,000 wa Kiswahili katika nchi za Kongo, Libya na Nigeria na kwamba mchakato wa kuwapata walimu wazuri zaidi unaendelea.


Luqman Maloto na Issa Mnally

MSANII nguli wa Muziki wa Bongo Fleva, Khaleed Mohammed ‘TID’ juzi Jumatano alijikuta katika wakati mgumu pale alipogombewa na askari wa Jeshi la Magereza kabla ya kwenda gerezani na pia kushangiliwa na wafungwa katika Gereza la Segerea, Dar es Salaam mara baada ya kufika ili kuanza kutumikia kifungo chake cha mwaka mmoja..

Bofya na endelea>>>>>



Sitta also bans

debate on

status



By Bilal Abdul-Aziz, Dodoma

National Assembly Speaker Samwel Sitta issued a directive here yesterday effectively barring Members of Parliament from any further discussion on whether Zanzibar is legally a state.

Sitta, whose intervention came as MPs shot direct questions at Prime Minister Mizengo Pinda under a recently introduced weekly procedure, invoked Rule 53 (8) of the House Standing Orders to cut off the questions and end the session.

``Rule 53 (8) of the House Standing Orders disallows any MP from reverting to any issue that has already been discussed and decided upon. Therefore, my ruling is that we shall not discuss this issue any further,`` he declared.

The Speaker explained that the Prime Minister elaborated comprehensively enough on the issue inside the House last week, including recommending that the Union and Zanzibar attorney generals pursue it jointly to its logical conclusion.

``The issue has already been handed over to the two attorney generals and when the Prime Minister made the announcement to that effect last week, honourable MPs clapped as a sign that they concurred with him,`` he said.


Drive-by shootings

hit five



Police in Oslo continue to search for gunmen who fired airpistols at passersby in five separate incidents on Thursday evening.

Five victims were hit in drive-by shootings Thursday. Police combed Oslo's western suburbs to find the perpetrators.

PHOTO: PER ANNAR HOLM

Related stories:

Armed police patrols and special police teams combed Oslo’s western suburbs Thursday, looking for the driver and passenger of a brown car, who random shot at victims they passed in the road. None of those hit were seriously injured, but two needed medical treatment.

The third person to be hit was shot outside Ullevål University Hospital.

"I knew immediately what had happened, because I had already read about the first incident on the internet," said Cato Steffensen to Aftenposten.no.

Despite reports from several witnesses and a large number of police on the case, no arrests have so far been made.

Aftenposten English Web Desk
Sven Goll


Thursday, July 24, 2008


KAZI YA USAGAJI

Mama mmoja alikuwa na mtoto wake aitwaye Jeni. Mtoto huyo alikuwa darasa la tatu. Siku moja mwalimu wao aliwataka wanafunzi kutaja kazi wanazofanya wazazi wao na mazungumzo kati ya mwalimu na mwanafunzi huyo yalikuwa hivi:


Mwalimu: Jeni, baba yako anafanya kazi gani?


Mwanafunzi: Mwalimu


Mwalimu: Mama yako je?


Mwanafunzi: Yeye anafanya kazi ya usagaji.


Mwalimu: Heeh! We mtoto, ulijuaje kuwa mama yako anafanya kazi hiyo?


Mwanafunzi: Namuona akiifanya na shoga yake mama Kasim na mimi huwa naendaga kumsaidia ninapotoka shule.


Mwalimu kusikia hivyo akabaki ameduwaa kwani alifikiria vingine
.

Kusaga nafaka!!!!!


Top brass and politicians

agree on new fighter roles


F-35 Joint Strike Fighter (Lightning 11)


SAAB´s JAS 39 Gripen.


The competition to sell the next Jet Fighter/Bomber
to the Royal Norwegian Air Force is between the Swedish´s JAS 39
and the American F-35 Joint Strike Fighter.



"A small country like Norway cannot afford more than one type of fighter aircraft. Unlike larger countries, we cannot allow ourselves the luxury of having specialized single role planes," says Espen Barth Eide, State Secretary in the Ministry of Defense.