Wednesday, June 04, 2008

Rais wa Gambia

atishia kuwakata vichwa

mashoga, wasagaji


"The Gambia is a country of believers... sinful and immoral practices [such] as homosexuality will not be tolerated in this country",
Yahya Jammeh


Rais wa Gambia, Alhaj Yahya Abdul-Aziz Jemus Junkung Jammeh ametishia kuwakata vichwa mashoga na wasagaji watalii watakaoingia nchini Gambia. Kufuatia habari zilizoandikwa kwenye gazeti la Aftenposten, kuwa Rais Jammeh anakusudia kutunga sheria kali zitakazowahusu mashoga na wasagaji.

Jana mtalii mmoja wa Kihispania amekamatwa kwa kumjaribu dereva wa taxi mjini Banjul. Msemaji wa wizara ya mambo ya nchi za nje ya Norway, Bw. Thor- Henrik Andersen, amesema kuwa Norway inafuatilia kwa makini suala hilo na mashoga na wasagaji wa Norway wameonywa kuwa waangalifu watakapokuwa nchini Gambia.


Mengi juu ya hilo, bofya hapa na endelea kwenye makala za BBC News zilizopita.



Mgomo wa wa waalimu,

wafanyakazi wa serikali

umekwisha!


Picha toka Dagbaldet.


Makubaliano yamefikiwa leo saa 5 asubuhi kati ya wafanyakazi wa taaluma mbalimbali wa manispaa za Norway (Confederation of Unions for Professionals - Unio) na waajiri wao, Manispaa za Norway (Public Sector Emploers Group KS). Wafanyakazi 11200 wa manispaa za Norway walikuwa kwenye mgomo ulioanza 23 Mei. Wafanyakazi waliogoma wanatakiwa kurudi kazini kesho asubuhi.

Wafanyakazi wa Manispaa ya Oslo bado wako kwenye mgomo. Oslo ni Manispaa, Mkoa na Mji mkuu, hivyo basi wafanyakazi wa Oslo wana makubaliano tofauti kidogo na waajiri wao, ukilinganisha na Manispaa zote za Norway. Unio (Oslo) na KS wameitwa kwa mpatanishi wa migororo ya wafanyakazi na waajiri (Riksmeklingsmannenen) ili kuangalia uwezekano wa mgomo wa Oslo kwisha haraka.


Chanzo cha habari: TV 2 Nyhetskanalen.

Sakata la Sammy Korir:

Mapolisi waliomwajiri

wasimamishwa kazi!



Sammy Kipterer Korir


Baada ya skandali ya polisi kumwajiri Sammy Korir kama kachero wao wa kuchunguza Waafrika nchini Norway kuandikwa kwenye gazeti la Dagbladet, mapolisi wawili wa kitengo cha polisi kinachoshughulikia wageni, wamesimamishwa kazi na uchunguzi unafanywa dhidi yao. Huenda wengi kwenye kitengo hicho, wakasimamishwa kazi, kufukuzwa kazi hata kushtakiwa.

Dagbladet la leo linaandika kuwa, Korir alikuwa analipwa mshahara, huku hao mapolisi waliomwajiri wakiaandika kuwa analipwa posho ya ukalimani.

Jana Dagbladet liliandika jana kuwa kijana mmoja, Emmanuel Agara alirudishwa Ghana, licha ya kusema kuwa kwao ni Liberia. Kwa uongo wa Korir, Agara alirudishwa Ghana mara mbili. Mara zote hizo mbili, polisi wa Ghana walikataa kumpokea Agara na kuwaambia polisi wa Norway waliomsindikiza Agara kuwa jamaa si Mghana na warudi naye Norway.

Mara ya pili Polisi wa Norway waliomsindikiza Agara walimtelekeza uwanja wa ndege wa Accra, na wakaingia mitini, lakini polisi wa Ghana walimrudisha Agara Norway.

Habari zaidi zinasema, Korir alikuwa anajisifu na kuwaambia watu wasimchezee na kuonyesha hicho kitambulisho cha polisi alichopewa na hao mapolisi mafisadi.


Chanzo cha habari: Gazeti la Dagbladet.



Mwisho wa matatizo ya

umeme Zanzibar

si leo wala kesho



Na Salma Said, Zanzibar

MTAALAMU wa umeme kutoka Kampuni ya Nexans ya Norway, Hakon Hamre amesema

kazi ya kuurejesha umeme visiwani Zanzibar ni ngumu na haijulikani lini itakamilika inahitaji umakini wa hali ya juu.

Mtaalamu huyo alisema hayo wakati akitoa maelezo kwa Naibu Waziri Kiongozi, Ali Juma Shamuhuna


Bofya na endelea>>>>>



Barack Obama

Democratic Presidential

Candidate






Amber Lee Ettinger "Obama Girl" on MSNBC





Sent inn by Omari Guy Agallo Chichi




Word of wisdom –

By Chimamanda Ngozi Adichie



Sent inn by Tausi Usi Ame Makame
tausi@online.no




Tuesday, June 03, 2008

Bhatti acquitted of terrorism,

convicted on other charges


Norway's first terrorism trial ended Tuesday with the acquittal of Arfan Qadeer Bhatti, who was charged with firing shots at a Jewish synagogue in Oslo and planning embassy attacks. Bhatti's alleged accomplices were also acquitted, but Bhatti was convicted for other shootings and for attempted murder.

Terror defendant Arfan Bhatti with his defense attorney, John Christian Elden, in court on Tuesday.

PHOTO: SARA JOHANNESSEN/SCANPIX

Related stories:

Bhatti, who has a long criminal record, was thus ordered held in preventive custody for up to eight years, and possibly longer under the relatively harsh Norwegian sentence known as forvaring. It can result in indefinite custody.

Bhatti and his accomplices were charged in both the September 2006 shots fired at the synagogue in Oslo and with planning terrorist attacks against the Israeli and American embassies in Oslo. Bhatti was further charged with firing shots at the suburban Bærum home of one of the leaders of a failed pyramid scheme, and threatening his family because the man owned Bhatti money. Those charges resulted in convictions, also for attempted murder.

Police believed they had a strong case against Bhatti, not least after they were allowed to play in court audio tapes of Bhatti's phone conversations that investigators had recorded secretly. The tapes were incriminating, revealing strong language used by Bhatti against Israel and the US and his desire to hurt them.

His defense attorney had dismissed Bhatti's remarks as overly emotional talk, and argued that Bhatti never intended to follow through on the threats he made.

The judge in an Oslo city court largely bought that argument, claiming that the demand for strong and clear evidence of terrorist activity wasn't met. Judge Kim Heger also noted Norway’s anti-terror law demands strong evidence that the alleged terrorist act was carried out willfully and intentionally.

The judge ruled that it couldn't be proved that either Bhatti or accomplice Andreas Bog Kristiansen entered into a binding and intentional agreement to carry out terrorist acts on the Israeli and American embassies. Heger said he could see no hard evidence for that, nor could he see that the shots fired at the synagogue amounted to a terrorist act.

Vandalism, not terrorism
Rather, he said, the court viewed the synagogue shooting as an act of serious vandalism. He conceded that the taped recordings of Bhatti’s verbal threats contained frightening thoughts and ideas, but ruled that they needed to be understood in their proper context.

Bhatti has been held in police custody since being arrested shortly after the synagogue shooting. He denied having anything to do with either the synagogue or Bærum shootings. Bhatti admitted on the opening day of his trial earlier this year, however, that he "might" have sent some mobile phone text messages that "could" have been interpreted as "frightening."

But he claimed no knowledge of or involvement in the shootings, and suggested the Bærum shooting stemmed from a conflict involving stolen property.

Aftenposten English Web Desk
Nina Berglund/NTB



Register online to enter

US from next year



From next year, the USA will require the registration of travellers from countries which do not currently require a visa, including Norway.

Intended to bolster US security, the new requirement is due to be officially announced later today by Homeland Security secretary Michael Chertoff.

The online registrations will begin in January and will be valid for a two-year period.

Those needing to register will be travellers from Norway and the other 26 countries whose citizens are not required to obtain visas for US entry.

The countries include those in most of western Europe as well as Andorra, Australia, Brunei, Japan, and Singapore.

Eight other countries - the Czech Republic, Hungary and South Korea among them - are expected to be admitted to the visa waiver programme.

Mkapa connection with

Kiwira coal mine:

The real facts

Former President Benjamin William Mkapa


THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

FORMER President Benjamin Mkapa and Cabinet minister Daniel Yona formed the private company Tanpower Resources Limited in 2004 with the specific intention of engaging in coal mining and power generation activities, according to available documentary evidence.


More>>>>>

Olusegun Obasanjo:

Ufisadi ni tatizo

kubwa Afrika

Nigerias Former President Olusegun Obasanjo


na Kulwa Karedia na Ramadhan Siwayombe, Arusha


RAIS mstaafu wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, jana alitoa kauli nzito dhidi ya viongozi wa Afrika na kuwataka kupambana na rushwa katika nchi zao, hata kama zinawahusu viongozi wakuu waliopo madarakani na wale waliostaafu ndani ya nchi zao.

Obasanjo aliyasema hayo wakati akitoa nasaha katika siku ya kwanza ya mkutano wa nane wa Leon Sullivan, unaofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), kabla haujafunguliwa na Rais Jakaya Kikwete jana jioni.

“Ili mataifa ya Afrika yaweze kupata maendeleo lazima viongozi wake wakubali kupambana na wala rushwa katika nchi zao, hata kama ni wakuu ndani ya nchi zao,” alisisitiza Obasanjo.


Prof. Haroub Othman:

Kikwete aongoze

mazungumzo mwenyewe



na Prisca Nsemwa

PROFESA Haroub Othman, wa Taasisi ya Taaluma za Maendeleo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kuchukua mamlaka kamili ya kuongoza mazungumzo ya muafaka wa Zanzibar, badala ya kuwaachia Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, na mwenzake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba, ili kuleta suluhu na kulinda muungano.

Mbali na hilo, profesa huyo mtaalamu wa masuala ya siasa, alisema kuwa Kikwete ndiye rais wa muungano, hivyo jukumu ambalo anatakiwa kulifanya kwa haraka iwezekanavyo ni kuendesha mazungumzo hayo yeye mwenyewe, ili kuepuka madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea kwa taifa.


Bofya na endelea>>>>>



Norwegians spent more

time with their children



Norwegian parents spend on average 40 hours a week together with their children, according to a survey carried out by Eurofound, quoted by Norwegian Christians daily, Vaart Land.

The survey ranks Norwegian parents at the top of this European ranking, ahead of the Netherlands in second place, with just under 34 hours.

Denmark ranks fifth with 16,5 hour, while Finland and Sweden are way down with only 14 and 13 hours respectively.

Experts believe some of the reasons for Norway's high ranking are Europe's shortest average working week, coupled with legal rights to leave at birth and during children's sickness for both men and women.

Source: Norwegian Broadcasting Corporation/Vaartland/Norway Post

Rwandan war criminal

reportedly in Oslo


The man who’s charged with financing genocide in Rwanda is reportedly hiding out in Oslo, and may want to turn himself in.

An arrest warrant was issued for Felicien Kabuga in 1999.

Felicien Kabuga, a wealthy Rwandan businessman who’s been on the run for 14 years, reportedly drove over the border from Sweden two months ago and has been staying with another man from Rwanda in a flat in Oslo.

The editor of Norwegian-based African Press International (API) told a Kenyan newspaper that he had interviewed Kabuga in an Oslo hotel room. Editor Sammy Kipterer Korir told newspaper Sunday Nation that he’d been invited to the hotel room by a friend from Sudan.

Korir didn’t respond to inquiries from Aftenposten.

API reported that Kabuga, now age 72, wanted to return to Rwanda before his health deteriorates. He reportedly said he would seek asylum in Norway if the Rwandan authorities refuse to negotiate with him.

Rwandan authorities have rejected negotiations with the alleged war criminal. A United Nations tribunal issued a warrant for Kabuga’s arrest in 1999. Diplomats and tribunal officials reportedly have dismissed Korir’s report of meeting Kabuga as a hoax.

Monday, June 02, 2008

The Make or break

witness is speaking:

R. Kelly Trial


Make or Break witness Lisa Van Allen is testifying as I type about the three-way sessions she had with R. Kelly and the underage girl in question! Below is what is currently being said in the court room:

“Van Allen said she had met R. Kelly at the video shoot for ‘Home Alone,’ in which she appeared, in late 1997 or early 1998. She talked with Kelly and ended up having ‘intercourse’ with him in the trailer, she said. She was 17 at the time, she said.

The pair exchanged numbers and Van Allen soon visited Kelly in Chicago, eventually giving up her job in Atlanta to be with him full time. Kelly paid for her to stay in hotels and she spent most of her time with him at the studio, she said.

In late 1998, she testified, Kelly took her to his former home on the North Side of Chicago, where she met the alleged victim in this case for the first time. Kelly taped them while they had three-way sex in his ‘log-cabin’ room, she said. That’s the same room he’s alleged to have filmed the tape in this case. Kelly told her the alleged victim was 16, she said.

On another occasion, following an awards ceremony in Chicago at which Kelly had been honored, Van Allen, Kelly and the alleged victim in this case again had videotaped three-way sex. But this time they did it on Kelly’s basketball court.

‘He took up his camera and we took off our clothes and we all had sex again,’ she said. Van Allen said Kelly stopped the sex session after she broke down crying. “I didn’t want to do it,” she said.

On a third occasion, sometime in 2000, Kelly, Van Allen and the alleged victim romped again, this time in his trailer at the video shoot for ‘Woman’s Threat,’ Van Allen said. Kelly and the alleged victim ran naked to hide after somebody knocked on the door and disturbed them, she said.

Van Allen said Kelly carried a ‘duffel bag’ with his home-made porn it wherever he went. ‘He carried it everywhere,’ she said. ‘If we was at the studio, it was in the studio with him; if he was at Hoops (his gym) it would be at Hoops with him…the bag would follow him.’

She said she was not there when the tape at the center of this case was made, but identified the alleged victim and Kelly as being on that tape.”


Source:Drew Reports and Chicago Sun Times


Sammy Kipterer Korir

"Snitcher" wa polisi

wa wageni Norway



Swali: je, ni wangapi wanalipwa na

polisi kuchunguza Waafrika wenzao?



Sammy Korir. Picha na Dagbaldet.


Gazeti la kila siku la Dagbladet (Norway) limeandika leo maofisa wakuu wawili waandamizi wa polisi kitengo cha wageni wanachunguzwa kwa kumwajiri Sammy Korir bila ya mkuu wa kitengo kuwa na habari zake.

Sammy Korir amekuwa akilipwa kama kachero wa kitengo cha polisi Norway kinachoshughulikia wageni "Politietsutlendingsenhet - PU (kwa Kinorweji)" , licha ya kuwa si polisi na wala si kachero. Korir amekuwa akilipwa kwa kuwafichua wageni wanaoingia Norway kinyemela na kuomba vibali vya kuishi kama wakimbizi au wageni wa kawaida. Korir amedai aliajiriwa toka Februari 2007 hadi Aprili 2008 alipowaandikia PU kuwa anaacha ukachero.

Polisi wa Norway wamekuwa wakipata shida ya kugundua watu waliojilipua kama wakimbizi na baadaya kupotea mitaani. Sammy Korir amewafichua watu 32 walioingia kinyemela na kuomba hifadhi ya kikimbizi. Watu 19 kati ya hao 32, tayari wamesharudishwa makwao. Chanzo chetu kinasema kuwa Korir amekuwa akihoji watu wanaojilipua na kuwatishia wasiposema ukweli atasema wanatoka nchi ambazo hawatoki wakakione. Baadhi ya watu walirudishwa kwenye ambazo hawatoki, na nchi hizo zilikataa kuwapokea watu hao, ikabidi warudishwe Norway.

Sammy Korir amekuwa akilipwa na polisi kuchunguza na kufuatilia nyendo za watu wanaolijipua. Vyanzo vya habari zetu vya kuaminika vinasema kuwa Korir amekuwa akilipwa na polisi kwa muda mrefu sana ili kufuatilia nyendo za Waafrika nchini Norway.

Mkuu wa kitengo hicho, Bi. Ingrid Wirum, anasema kuwa Korir amelipwa 170000,- (laki moja na sabini elfu). Sammy Korir anadai anaidai polisi kroner 200000,- (laki mbili) na kuwa kama hawatamlipa, ataifungulia polisi mashtaka.

Sammy Korir anajulikana hapa Norway kwa utapeli na uongo. Mwaka 1992 Korir alihukumiwa kwa utapeli.

Mwaka 1996 alianzisha Rainbow Foundation. Alipoanzisha, akaandikisha vyama vingi vya Waafrika viko chini ya Rainbow Foundation (Chama Cha Watanzania Oslo kikiwa kimojawapo), bila ya idhini ya hivyo vyama. Korir akaomba pesa za kuendesha chama na vitengo vinavyohusika akapewa. Pesa hazijulikani zilivyotumika. Lengo lingine la Rainbow Foundation lilikuwa kueneza habari juu ya athari za VVU (Virusi Vya Ukimwi) na UKIMWI miongoni mwa vijana wa Kiafrika waishio Stavanger, Bergen, Trondheim na Tromsoe. Mwaka jana Rainbow Foundation ilipewa Kroner 408.000,- (laki nne na elfu nane) na serikali. Pesa hizo hazijulikani zimeenda wapi. Korir amekuwa akionekana kila siku usiku kwenye sehemu za kunywa.

Rainbow Foundation inachunguzwa na Statens Helsetilsynet (Norwagian Board of Health Supervision) kwa upotevu wa hela hizo.


Chanzo cha habari gazeti la Dagbladet.



Sumaye amtetea Mkapa


Na Mashaka Mgeta

Waziri Mkuu mstaafu, Bw. Frederick Sumaye, ameibuka na kuutetea utawala wa Rais wa Awamu ya Tatu, Bw. Benjamin Mkapa, kuwa uliharakisha maendeleo ya nchi na watu wake.

Kauli hiyo ya kwanza kutolewa na Bw. Sumaye, imekuja huku kukiwa na tuhuma nyingi zinazomkabili Bw. Mkapa, kutokana na madai ya matumizi mabaya ya madaraka alipokuwa rais.


Bofya na endelea>>>>>

Mkutano wa Sullivan

waanza leo


Na Daniel Mjema, Arusha


HUKU Jiji la Arusha likiwa limegubikwa na pilikapilika nyingi, marais kutoka nchi saba za Afrika, wamethibitisha kushiriki mkutano wa nane wa kimataifa wa Taasisi ya Sullivan, unaoanza leo jijini hapa.

Marais hao ni Jakaya Kikwete wa Tanzania, Omar Hassan Ahmed

Al-Bashir wa Sudan, John Kufuor wa Ghana, Armando Emilio Gebuza wa Msumbiji na Mwai Kibaki wa Kenya.

Wengine ni Paul Kagame wa Rwanda na Mohamed Abdelazi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Saharawi na Rais Mstaafu wa Nigeria, Olesegun Obasanjo.

Pia Makamu wa Rais wa Uganda, Profesa Gilbert Balibaseka, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Marekani, Dirk Kempthorne na Waziri wa Kazi wa Afrika Kusini, Thoko Didiza.

Ujumbe wa Rais Kibaki, ndio uliovunja rekodi kwa kuwa na maofisa 60, akifuatiwa na Rais wa Msumbiji ambao utakuwa na maofisa 39.


Bofya na endelea>>>>>




Bombing sparks evacuation

of embassy in Pakistan


Victims were carried away following the bombing outside

the Danish Embassy in Islamabad on Monday.

PHOTO: AAMIR QURESHI/AFP

Norway's embassy in Islamabad was evacuated on Monday after the nearby Danish embassy was hit by a massive car bomb. The foreign ministry also issued a warning against travel to Pakistan.

Police guarded the Norwegian Embassy in Islamabad when protests raged over caricatures of the prophet Mohammed.

PHOTO: ARCHIVE


"We're closing the embassy, and moving out all personnel," Aud Marit Wiig, Norway's ambassador to Pakistan, told Aftenposten.no.

A bulletin on the web site for the Norwegian Embassy in Pakistan also advised against any travel to the country that wasn't absolutely necessary. Norwegian citizens already in Pakistan were also advised to be cautious, especially in Islamabad and other large cities.

A spokesman for the Foreign Ministry in Oslo said staff was working to "gain an overview over the situation." At least eight deaths were reported by 11am Oslo time, with most of the victims believed to be Pakistanis.

The ministry could confirm some damage, mostly broken windows, at Norway’s own embassy after the explosion at the Danish Embassy nearby. No personnel at the Norwegian Embassy were injured.

The scene outside the embassies was described as chaotic. One of the victims was reportedly a locally employed security guard at the Danish embassy.

The Associated Press reported that a "huge" car bomb exploded outside the Danish Embassy in the Pakistani capital and that the blast echoed throughout Islamabad. It left a crater over a meter (three feet) deep in the road in front of the embassy. Shattered glass, fallen masonry and dozens of wrecked vehicles littered the area. People, some bloodied, ran back and forth in a state of panic.

An exterior wall of the embassy collapsed and its metal gate was blown inward but the embassy building itself remained intact, reported the AP. The office of a Pakistani development organization opposite the embassy was also badly damaged. Its roof had partly collapsed.

Denmark has faced threats at its embassies following the reprinting in Danish newspapers of a caricature depicting the Prophet Muhammad. Muslims generally consider depicting the prophet to be sacrilegious. Islamic militants have warned of reprisals.

Aftenposten English Web Desk/AP


Uganda VIP passports

targeted by UK police


Julian Nakayiwa

London


Carrying a Uganda diplomatic passport is turning out to be a huge burden when travelling to the UK. Barely two months after an adviser to President Yoweri Museveni was arrested on charges of money laundering in the United Kingdom, another prominent Ugandan has been searched for suspected drug trafficking.


More>>>>>

Sunday, June 01, 2008

Career opportunities in

Det Norske Veritas



Cabinet to delete

”press freedom”

from constitution

By Ssemujju Ibrahim Nganda
WEEKLY OBSERVER, KAMPALA, UGANDA


A Cabinet committee tasked to advise the government on taming critical media is considering a constitutional amendment that deletes the provision on freedom of the press.

The sub-committee headed by Public Service Minister, Henry Muganwa Kajura, was formed after three separate Cabinet papers on the management of the media failed to find consensus in Cabinet.

The majority of ministers want tough restrictions against the media.

The third and latest paper titled, ‘Cabinet Retreat on Media Management’, was presented to Cabinet on May 21 during a retreat at Statistics House in Kampala.


More>>>>>


JK, Mkapa atakutesa


VYOVYOTE iwavyo, kwa namna kashfa zinazomwandama sasa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, zinavyomchafua, ndivyo pia zinavyomchafua Rais Jakaya Kikwete.

Historia ya kashfa za Mkapa ndiyo inayotufanya tuamini hivyo. Historia hiyo inaonyesha kwamba, Rais Kikwete amekuwa akifuatilia kwa karibu sana tuhuma anazoelekezewa Mkapa, baada ya kauli yake ya kutotaka Mkapa achunguzwe kupingwa na baadhi ya wananchi, wakiwamo wanasiasa wa kambi ya upinzani.


Bofya na endelea....

Askofu Mokiwa ang’aka

nchi imepoteza mwelekeo



na Rahel Chizoza, Dodoma

ASKOFU Mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania, Dk. Valentino Mokiwa, amesema uchumi wa nchi umeporomoka licha ya taarifa za kuimarika kwa hali hiyo kwa asilimia kadhaa.

Akifafanua kauli yake kuhusu hali ya uchumi, alisema maisha ya Watanzania wengi hali zao ni duni, na zimeendelea kuwa hivyo siku hadi siku kwamba umefika wakati jamii inakosa matumaini ya kuishi.

“Watu wenye maisha mazuri hapa Tanzania ni wachache, wengi wao maisha yao ni duni sana, ni vema viongozi wawasaidie wananchi kuondokana na hali hiyo angalau kwa kudhibiti mfumuko wa bei,” alisema askofu huyo katika mazungumzo yake na waandishi wa habari ofisini kwake mjini hapa jana.


Bofya na endelea...


KEYNOTE SPEECH BY H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE TICAD IV OPENING SESSION YOKOHAMA, JAPAN, 28 MAY 2008


Mr. Prime Minister;

Distinguished Heads of State and Government;

Invited Guests;

Ladies and Gentlemen;

On behalf of my colleagues from the African continent and on my own behalf, I thank you, Prime Minister Fukuda first for inviting us to TICAD IV. We also thank the people of Yokohama for welcoming and receiving us so warmly. We thank and congratulate you and your government for organizing this important conference so well.

Mr. Prime Minister;

My colleagues and I from Africa have come to Japan in such record numbers because we hold with very high esteem our relationship with the government and people of Japan. We have come to cement the invaluable friendship that so happily exists between Japan and Africa.

We are here in full force to underline our trust and collective support for the TICAD process which, over 15 years of its existence, has proved to be a very useful instrument for our cooperation.

It is the sincere wish of all of us gathered here to see to it that TICAD IV transforms Japan-Africa relations into a new paradigm of effective partnership that we can further develop for the mutual benefits of our two sides.

Ladies and Gentlemen;

The TICAD process, though multilateral in character, has been so successful through this period of time because of the pivotal leadership role played by the successive governments and support by people of Japan.

Japan’s continued commitment to Africa and the strength of its own leadership of the Process will be crucial in the coming years. Fortunately, Japan has consistently exercised that leadership, and the success of the TICAD process so far testifies to that.

Mr. Prime Minister;

We thank you and your government for choosing a very befitting theme for TICAD IV: Towards a Vibrant Africa. For TICAD IV to give a particular attention to the development of infrastructure, especially development of regional road networks in Africa, resonates very well with all of us gathered here and the people we represent back in the Continent. You have captured the essence of what needs to be done to unlock Africa’s development potential.

We also welcome the announcement to double aid to Africa by 2012. Together with the focus on enhancing maternal and child health in Africa, as well as assisting Africa double rice production and provide safe drinking water, among others, TICAD IV indeed answers some of the critical factors in the promotion of economic growth and development on the continent.

Africa needs more ODA to develop its infrastructure, develop its human capital and improve the provision of basic social and economic services.

My colleagues and I encourage you to continue to be committed to the cause of Africa’s development and exercise leadership in that regard. We pledge to work ever more closely with you, as partners in progress, in the reconstruction of this important chapter in our overall relationship.

Excellencies, Ladies and Gentlemen;

Besides the increase in ODA, which is highly appreciated, TICAD needs to go further. What remains to be seen is increased trade and investment between Africa and Japan. We also need to see more involvement and active presence and participation of the Japanese private sector on the continent.

We are aware of the caution with which the Japanese private sector approaches Africa. For them, Africa is a far-off land and too risky to invest in. Consequently, Japanese investment in Africa has remained small. According to the World Bank, Japanese FDI in Sub-Saharan Africa between 2002 and 2004 amounted to US $415 million only. This was roughly 0.4% of Japan’s total global FDI flow of US $108.5 billion.

Interestingly, of those US $415 million that Japanese firms have invested in Africa, US $352 million or 85% went to just two countries - South Africa and Egypt. So, the rest of Africa was left to share the remaining US $63 million.

With regards to trade, goods and services exported to Japan from Africa were less than 2% of Japan’s total imports in 2003-2004.

Ladies and Gentlemen;

This must change, and I believe it is possible for that change to happen. There can be more investments and more trade between us. I know we in Africa have to go the extra mile to convince the Japanese investors about coming to Africa. We have been doing precisely that over the many years but we realize that we have to do a lot more until we succeed in convincing the Japanese private sector that Africa is a good place to invest and do business. While we pledge readiness to continue to do so, we seek the support of the Government of Japan to do more to encourage the Japanese private sector to venture into Africa.

I say with no hesitation, on behalf of my colleagues, that the perceived risks of doing business with or in Africa today are more a matter of the unforgotten past history than what is actually obtaining on the ground in Africa today. Africa is a safer, prospective and lucrative place to invest. My colleagues and I will take time and turns to explain about that in greater detail during this meeting.

It is our considered view that, may be, Japanese businesses need more assurances from their government to allay their fears about risks in Africa. I see the initiatives you just announced to be undertaken through JBIC, as an appropriate antidote to the trepidations of the Japanese private sector about investing in Africa.

Excellencies, Ladies and Gentlemen;

Another critical component of TICAD IV is the focus it will give to the increasingly critical issue of climate change. Africa, which contributes least to the global warming phenomenon, bears far more than its fair share of the direct and indirect consequences thereof.

We salute the Japanese leadership in attaining a broad global consensus on a practical mechanism to follow-on from the Kyoto Protocol. Africa is solidly behind you. We will walk with you as we strive to make our dear planet a safe place live. We applaud the creation, by Japan, of the U$ 10 billion Climate Change Fund. On behalf of my colleagues, I humbly request the Government of Japan to set aside a fixed percentage of that Fund specifically for Africa. Above all, make those funds easily accessible by us.

Japan is a technology powerhouse. It is the hallmark of Japan’s development. Africa has been left behind and is still struggling to be part of this important vehicle of transformation of societies growth and development. Africa wants to be joined into the International ICT Community. We look to Japan to assist us in this regard. Japan has the capacity to do so.

Excellencies, Ladies and Gentlemen;

Not long after TICAD IV meeting, Japan will host the 2008 G8 Summit. It is our hope - certainly our expectation - that the outcome of TICAD IV will serve as a concrete basis for Japan to urge its G-8 partners to fully honour their own commitments to Africa, and to fully support the new economic-development focus of TICAD IV. We want Japan to be our voice within the G8.

Ladies and Gentlemen;

Let me end where I began. Africa has come to Japan, with high expectations. Those expectations revolve around the success of this Summit in setting a solid base for a new, more dynamic relationship between Africa and Japan. A relationship based on the shared vision of a vibrant and prosperous Africa.

Today we rededicate ourselves to realize that vision. I seek the pledge of all of us to make that vision into a reality.

We expect no less of ourselves. We hope for no less from Japan.

I thank you for your kind attention!


Murder threats via email



FOTO: Brian Olguin

Several students and employees had a nasty surprise when they checked their email account last week. An email from a person claiming to be a hit man who wants money not to take on the job of killing the recipient, has been sent to IT users at the university in several different versions. The exact number of people at the University of Oslo (UiO) who have received this frightening email is at this point unclear.

- This is a known extortion case. We encourage students and employees not to reply to this email, says Margrete Raaum, Chief Security Officer at the University’s Centre for Information Technology (USIT).

Click for full text...