Wednesday, October 31, 2007
Na Makongoro Oging.
Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Emmanuel John Nchimbi alitekwa na watu wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hali iliyomfanya apige simu polisi kuomba msaada kunasuliwa mkononi mwa wanachama hao.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Ijumaa iliyopita majira ya saa 2.00 usiku mjini Songea mkoani Ruvuma saa chache baada ya kutoka katika kampeni ya udiwani, nafasi iliyoachwa wazi na marehemu Adam Mwaibabile katika Kata ya Majengo.
Vyanzo vyetu vya habari zilizopatikana hapa jijini Dar es salaam na huko Songea zinadai kuwa Mhe. Nchimbi mara baada ya kumaliza kampeni waliongozana na katibu, mwenyekiti wa wilaya hiyo na wanachama wa Chama cha Mapinduzi hadi nyumbani kwa katibu.....(Soma zaidi)
Dar es Salaam!!!
• Salama caught doing her ‘taboos’
By Christopher Lissa & Richard Bukos
It was a night when hell broke loose and Satan ruled supreme at last weekend’s Ugandan Night Concert.
It was Sodom and Gomorrah to boot and revelers either could not tell whether they were in Dar es Salaam or another city in another planet of devils.
But, yes, it was the special concert which gathered together a large number of artists and their friends from all over East Africa. .....
Our reporters who attended the event say that the concert which was held in the famous Little Theatre club of Oysterbay Dar es Salaam was dominated by nauseating scenes whose main actors were the artists themselves and some revelers overwhelmed by the bottle.
Our reporters witnessed some famous artists doing revolting things, including what they call French-kissing, showing their private parts as well as boozing themselves unconscious.
One girl whose name could not be obtained, lumbered onto the stage and took her min-skirt off, pulled down her knickers, turned her back to the crowd and bent down to show her bare ass.
To the surprise of our reporters and a few other people, the girl’s repulsive antiques were received chanting and clapping from the crowd. A few people said some prayers, cursing the grip Satan had on our youths.
The girl was seen taking bottle after bottle of the intoxicating stuff until she was thoroughly juiced, and that was when she wobbled onto the stage when Sweet Kid from Uganda was performing.
She danced with the artist and a certain fan jumped on the stage, presumably to give her support, which incited her and drove her into doing the crazy acts. She finally fell off the stage and some ‘good samaritans’ dragged her out.
The Bongo Sun also caught the famous TV and Radio presenter Salama Jabir in an intimate embrace with an unknown guy kissing and fondling oblivious of what was going on around them.
This newspaper witnessed some artists and other famous music stakeholders like Fid Q, Down Town producer Mr. Damian Luwena a.k.a ‘D – Money’, and Khalfan Ilunga a.k.a ‘C Pwaa’, being surprised by the organizers when they were told to pay entrance fee contrary to their belief that artists are not supposed to pay entrance fee to such places.
Among the performers who were outstanding in that concert were AY of Tanzania, Juacali from Kenya and Sweet Kid from Uganda. The three artists became the talk of the night.
Kutoka: Global Publishers TZ.
Brazil confirmed as
2014 hosts
FIFA President Sepp Blatter.
Brazil has today been named Host Nation for the 2014 FIFA World Cup™ by the FIFA Executive Committee. The South American country was the only one bidding to host the tournament, which was due to be staged on the continent under FIFA's rotation system.
Brazil, who have won the tournament a record five times, hosted the tournament once before in 1950, when they were beaten 2-1 in the Final by Uruguay.
Now they have the chance again, with FIFA President Joseph S. Blatter saying that he had been impressed by Brazil's plans for 2014 despite the fact they were the only bidders following Colombia's withdrawal.
Probably the venue for the World Cup final 2014
"The task was not easy - for us it was a real big challenge to have the same list of requirements and the same conditions for only one candidate than if we had two and perhaps we put the bar higher than if we had two," said Blatter.
"There was an extraordinary presentation by the delegation and we witnessed that this World Cup will have such a big social and cultural impact in Brazil.
"This is the country that has given to the world the best football and the best footballers, and they are five times world champions."
Reaction in Brazil was predictably ecstatic, with the country's president, Luiz Inacio Lula da Silva, summing up the feelings of a nation when he spoke of looking forward to the 'huge task' of preparing for this unique sporting event.
"I would just like to say how happy I am to see Brazil's name on that card," he said. "Organising the World Cup is a huge task and we have far more responsibility weighing on our shoulders than when we arrived here. But we will organise a great World Cup and I am very happy."
By Neil Bowdler
Science reporter, BBC News.
The strain of the HIV virus which predominates in the United States and Europe has been traced back to Haiti by an international team of scientists.
The strain passed from Haiti to the US in about 1969 before spreading further, says the team in the Proceedings of the US National Academy of Sciences.
They hope knowing this could help find a cure for HIV, which can lead to Aids.
"HIV-1 group M subtype B" predominates in the US, Europe, large parts of South America, Australia and Japan.
Now scientists say they know where it came from.
'Single carrier'
The team examined archived blood samples from five early Aids patients - all of them Haitian immigrants to the United States - and analysed genetic sequences from another 117 Aids patients from around the world.
With this data, they recreated a family tree for the virus, which they believe shows conclusively that the strain came to the US via Haiti - probably via a single person - in around 1969.
Michael Worobey of the University of Arizona in Tucson is one of the study's authors. He says the new research suggests HIV first arrived in Haiti in the mid-1960s - probably from Africa where HIV is thought to have originated - before making its crossing into the US.
"By 1966 the virus first starts spreading in Haiti," he told the BBC.
"A few years later one variant from Haiti gives rise to what would then light the fuse and explode around the world as the Aids pandemic that we first became aware of."
Prof Worobey and his colleagues now want to trace the strain back further. His suspicion is that it probably arrived in Haiti from the Congo via Haitians who were working in Africa during those years.
He says understanding the origins of this and other strains of HIV will better enable scientists to predict how the virus may mutate in the future.
needed the same kind of rearing as dogs and children.
Photo: Bergens Tidende
Regrets immigrant-
dog comparison.
A newly elected Progress Party city councilor for Bergen has now apologized for an interview where he compared the integration of immigrants with raising dogs or children.Øistein Christoffersen at first seemed committed to the views he expressed in an interview with newspaper Åsane Tidende, but changed his tune after reactions began to build.
"I deeply apologize that, in an interview with Åsane Tidende, made comments on immigration policy that are easy to misunderstand and have been interpreted negatively. I see that my statements can be interpreted this way, especially the comment about setting boundaries and dogs," Christoffersen said in a press release Tuesday.
In the local newspaper Åsane Tidende Christoffersen had said: "We must take care that those who are here are properly integrated. That includes education in both language and how our society works. It is about setting boundaries, and is no different than raising children or dogs."
Christoffersen confirmed the statements to national newspaper Dagbladet's web site, and said he had two dogs himself that he had to raise so they could function in society, and rejected the idea that he feared his comparison might spark reactions.
"No, not if you read closely, then you see that I also compare them with children. Immigrants, children and dogs have to learn to fit in to the society around them," he told dagbladet.no.
Christoffersen also told Bergens Tidende's web site that people wanted to misunderstand him, and that "Everyone who has a dog knows what I mean."
Christoffersen is councilor for building applications and districts in Bergen, in a Progress, Conservative and Christian Democrat parties led council.
After the Socialist Left Party group leader formally demanded that Christoffersen be replaced in the council, the Progress Party politician decided to apologize.
"I wish I had not said this, because it does not represent my values or attitudes," he said. City council leader Monica Mæland also apologized for Christoffersen's remarks.
The Progress Party has a populist, right-wing profile and has traditionally had difficulty finding political partners in Norway, despite its steadily growing popularity, due in part to a history of xenophobic policies.
Tuesday, October 30, 2007
Oprah apologises after abuse allegations.
30 October 2007.
U.S. talk show queen Oprah Winfrey has issued an apology to parents and pupils at her school in South Africa, amid allegations of sexual abuse there.
Claims of misconduct within the star’s $46 million (£23 million) all-girls academy came to light earlier this month when a member of staff was removed from the Johannesburg school by child protection officers.
The school is now being investigated by the South African police and U.S. investigators, reports the New York Daily News.
And Winfrey admits she has let down pupils and parents of those connected with the school.
She says, "I’ve disappointed you. I’m so sorry. I’m so sorry." - Wenn.
Source: Sowetan
Wazungu wakamatwa Chad wakitaka kutorosha watoto.
Serikali ya Chad imewakamata wazungu kumi na sita, wakiwemo raia tisa wa Kifaransa, waliotaka kutorosha watoto zaidi ya 100 kutoka Chad. Raia hao wa Kifaransa ni kutoka asasi isiyo ya kiserikali ijulikanayo kama Zoe´s Ark. Wafaransa hao tisa walidai kuwa walitaka kuwachukua watoto kutoka Darfur na kuwa ni watoto yatima. Huku serikali ya Chad ikidai kuwa watoto wao ni Wachad na siyo yatima kama wanavyodai raia hao wa Ufaranza.
Raia hao waliokamatwa wamedai kuwa serikali ya Ufaransa na ya Chad zinafahamu mpango wao huo na kuwa walipata idhini toka serikali zote mbili. Serikali ya Chad na ya Ufaransa zimekana madai ya raia hao.
Kwa habari zaidi soma:
http://edition.cnn.com/2007/WORLD/africa/10/30/
chad.france/index.html
http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7069132.stm
Angalia kideo:
http://edition.cnn.com/2007/WORLD/africa/10/30/
chad.france/index.html#cnnSTCVideo
wakiri tuhuma mpya za Slaa.
*Yasema ni miongoni mwa mambo yanayochungwa
*Makamba asema madai hayo ni ya uongo
Ramadhan Semtawa na Kizitto Noya
WATUHUMIWA wawili kati ya sita waliohusishwa na Muungano wa vyama vinne vya upinzani katika ufisadi mpya wa mabilioni, wamejitokeza na kuzungumzia tuhuma hizo.
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni taasisi za kwanza zinazohusishwa katika ufisadi huo ambazo jana kila upande umetoa majibu yake kuhusiana na tuhuma hizo.
BoT imeelaza kuwa tuhuma zote zinachunguzwa chini ya Ukaguzi wa Kampuni ya Ernest & Young katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA).
Tamko hilo la BoT limekuja ikiwa ni siku moja baada ya vyama vinne vya upinzani kutoa tuhuma mpya za ufisadi wa Sh10 bilioni, ambazo vinadai zimechotwa kutoka benki hiyo na kutumiwa na CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005.
Akizungumza na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Gavana wa BoT, Juma Reli, alisema uchunguzi katika akaunti ya EPA kwa sasa umefikia robo tatu.
Reli ambaye pia ni Naibu Gavana wa BoT, alisema madai hayo si mapya kwani yote yanahusu madeni ya nje ambayo yanafanyiwa uchunguzi.
"Nafikiri ni vema tukasubiri uchunguzi ndani ya EPA, kwa maana tuhuma zote zinahusu ulipaji fedha katika akaunti hiyo," alisema na kuongeza:
"Kwa sasa uchunguzi huo umeshafikia robo tatu na hivi karibuni ripoti kuhusu uchunguzi huo itatolewa."
Alipoulizwa iwapo ni kweli BoT inafahamu kuhusu malipo katika akaunti hiyo ambayo ilibadilishwa ghafla, alisema kwa kawaida benki huwa haiangalii pesa zilizolipwa zinahamishiwa katika akaunti gani.
Reli alifafanua kwamba, utaratibu ni kwamba BoT haingalii fedha ilizolipwa zinaenda katika akaunti ipi nyingine bali kusimami taratibu za malipo.
Kuhusu kama BoT inaifahamu kampuni moja ya Afrika Kusini ambayo inaelezwa imetumika kuchotea fedha hizo, alisema ni dhahiri fedha kama hizo hulipwa kwa kampuni, lakini hakuthibitisha kama ni kweli fedha hizo zimelipwa kwa kampuni hiyo.
"Fedha hulipwa kwa kampuni, lakini nafikiri huu si wakati wa kuanza kuzungumzia kwa undani jambo linalochunguzwa, maana itakuwa ni kuharibu uchunguzi, tusubiri uchunguzi wa EPA ndipo yote yatabainika," alisisitiza.
Kwa upande wake CCM, imesema hakiwezi kueleza chochote kuhusu tuhuma hizo kwa kuwa ni za uongo.
Katibu Mkuu wa Chama hicho, Yusuf Makamba aliliambia gazeti hili jana kuwa tuhuma kwamba CCM kiliiba fedha kwa ajili ya kufanikisha kampeni zake za uchaguzi hazina ukweli wowote.
"Siwezi kutoa ufafanuzi juu ya madai ya uongo. Uongo haujibiki unakaliwa kimya," alisema Makamba.
Alisema wapinzani waliotoa tuhuma hizo walipaswa kuzitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010 ili jamii iweze kuwaunga mkono, badala ya kuzitoa sasa na kumaliza uongo wote uliotakiwa kutolewa wakati wa uchaguzi huo.
"Uongo huo ungewasaidia kama wangetoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010, sasa wanapoumaliza leo watasema nini kipindi hicho kikifika?" alihoji
Mbali na BoT na CCM, watuhumiwa wengine ambao umoja wa wapinzani umewahusisha na ufisadi huo mpya ni kampuni moja ya Afrika Kusini, Benki moja nchini na mawakili wawili wa kampuni moja ya uwakili nchini.
Juzi umoja wa vyama vya CUF, TLP, NCCR- Mageuzi na CHADEMA, ulitaja orodha nyingine ya watuhumiwa wa ufisadi ambao wamewahusisha na upotevu wa mabilioni mengine katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa na Mwanasheria wa Chama hicho Tundu Lissu, walisema kuwa watuhumiwa hao waliiba zaidi ya Sh10bilioni kutoka BoT wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005.
Walisema fedha hiyo iliibwa kutoka BoT katika kipindi cha mchakato na kampeni za mgombea urais kupitia CCM Uchaguzi Mkuu uliofanyika Desemba 14 mwaka juzi kuanzia Agosti mosi hadi Desemba 10 mwaka 2005.
Katibu Mkuu wa Chadema Dk Slaa, alisema katika mkutano huo uliohudhuriwa na baadhi ya wakazi wa jijini Dar es Salaam, kuwa nyaraka zilizopatikana hivi karibuni zimeonyesha kuwa katika kipindi hicho makampuni mawili hewa ya Afrika Kusini yalianzishwa nchini kwa lengo la kupitishia fedha zilizoibwa kutoka BoT ili kusaidia kampeni za CCM.
Norwegian business wants to offer immigrant labor tax incentives in order to attract needed manpower.
Related stories: |
Immigration from Poland sets new record - 26.01.2007 |
Immigrants flock to Oslo - 11.01.2007 |
Immigrants out of work - 25.08.2006 |
Oslo growing on immigrants - 15.06.2006 |
More bad news for immigrants seeking work - 08.05.2006 |
Norway's immigrants well educated - 28.04.2006 |
State asked to sponsor job-seeking immigrants - 13.03.2006 |
Two young immigrants portray 'The Norwegian Dream' - 02.01.2006 |
Immigrants scoff at UDI plan - 25.07.2005 |
The Confederation of Norwegian Commercial and Service Enterprises (HSH) believes that Norway should do as many of their neighbors and offer imported workers a lower income tax rate for a period.
Highly educated immigrant manpower is now in such demand in Europe that strong measures are needed if Norway is to compete, says HSH information chief Jarle Hammerstad.
"The fight for expertise and talent has gotten tougher. Our Nordic neighbors have arrangements with lower tax for a period in order to get important employees into the country. We believe the time has come to take up the fight for manpower and introduce similar measures," Hammerstad told NRK (Norwegian Broadcasting)
Monday, October 29, 2007
Deep Green Finance:
The plot thickens
-Opposition unveils likely links with CCM election financingTHISDAY REPORTER
Dar es Salaam
A GROUP of political opposition leaders yesterday laid bare a catalogue of highly suspicious payments made by the Bank of Tanzania (BoT) to the mystery Deep Green Finance Limited company and another equally obscure firm, Tangold Limited, amounting to several billions of shillings.
The dubious payments made public by leaders of the opposition CHADEMA, Civic United Front (CUF), Tanzania Labour Party (TLP) and NCCR-Mageuzi parties include - but are not limited to more than 10bn/- transferred by BoT to Deep Green Finance Ltd within a four-month period during the run-up to the 2005 general elections.
In a media statement delivered in Dar es Salaam yesterday by CHADEMA secretary general Dr Wilbrod Slaa, it was alleged that the central bank paid a total of 10,484,005.39/- under strange circumstances to Deep Green Finance Ltd between August 1 and December 10, 2005.
According to Dr Slaa, no further payments were made to Deep Green Finance’s account from December 11, 2005 to February 27 this year, when the little-known company surprisingly and unexpectedly filed for bankruptcy and voluntary liquidation.
The opposition leaders gave the government an ultimatum of until November 25 this year to form an independent commission of enquiry to probe allegations of corruption at BoT and in mining contracts, short of which they ’’will take the matter to the people.’’
Yesterday’s developments came in the wake of a series of exclusive reports published by THISDAY during the course of last week regarding questionable payments made by BoT in favour of both Deep Green Finance and Tangold Limited.
The six-page statement issued by opposition leaders yesterday traced suspicious movements of huge amounts of funds through the Deep Green Finance bank account as follows:
-August 1, 2005 - The BoT deposits $1,354,167.26 (approx. 1,546,778,770.92/-) to a bank account owned by Deep Green Finance through cheque number 241740. The funds are withdrawn on the same day by special clearance.
-September 1, 2005 The BoT, through cheque number 015558, transfers another $1,827,137.44 (approx. 2,083,255,881.60/-) to Deep Green Finance. The funds are again withdrawn by special clearance the same day.
-September 8, 2005 - Tangold Limited transfers $100,256.62 (approx. 114,611,746.80/-) to Deep Green Finance.
-September 16, 2005 - A total of 129,000,000/- is withdrawn from Deep Green Finance company’s account and deposited in a special FDR account.
-October 3, 2005 - A total of 2,083,333,333.33/- belonging to the Ministry of Finance is paid through special clearance from the Deep Green Finance company account.
-October 4, 2005 - The BoT deposits $1,789,075.89 (approx. 2,083,891,765.35) to the Deep Green Finance account.
-October 8, 2005 - A total of 39,761,397.98/- is transferred from Deep Green Finance to Tangold Limited.
-October 31, 2005 - Some 2,083,333,333.33/- from the Ministry of Finance is transferred to Deep Green Finance.
-November 2, 2005 - A total of $1,821,095.57 (approx. 2,083,653,279.68/-) is withdrawn from the Deep Green Finance account.
-November 30, 2005 - BoT deposits 2,083,333,333.33/- from the Ministry of Finance to an account owned by Deep Green Finance. The next day, $1,817,199.52 (approx. 2,184,610,383.04/-) is withdrawn from the company’s account.
-December 10, 2005 - A total of 100,940,489.71/- is transferred from Tangold Ltd to Deep Green Finance.
-December 19, 2005 - Some $88,722.17 (approx. 104,755,554.09/-) is withdrawn from the Deep Green Finance account.
’’There is corruption and/or theft of billions of shillings in public funds that has taken place at a time when the country was in the 2005 general election process. We have all documents showing that a number of shell companies were used to loot money from BoT,’’ said Dr Slaa.
TLP national chairman Augustine Mrema, one of the losing presidential candidates in the 2005 elections and who was also present at yesterday’s media conference , said the government could not afford to simply ignore the latest allegations.
And prominent local human rights activist and lawyer Tundu Lissu disclosed that the mystery Deep Green Finance company had opened its account at NBC Corporate Branch in Dar es Salaam on a public holiday on May 1, 2004, without paying a minimum deposit amount required for opening a new account.
He said the account was kept open for over a year without recording any transactions, until it suddenly started receiving billions of shillings from the BoT.
On Tangold Limited, Dr Slaa detailed a catalogue of other dubious payments by the BoT to the company registered in Mauritius.
Listed company directors of Tangold, which inherited operations of the bankrupt Meremeta Gold company, are the incumbent BoT governor Daudi Balali, former attorney general Andrew Chenge (currently Minister for Infrastructure Development), and Permanent Secretaries Gray Mgonja (Finance), Patrick Rutabanzibwa (Water) and Vincent Mrisho (Prime Minister’s Office).
SAS, Widerøe drop Dash.
Further troubles with Dash 8-Q400 planes have convinced Scandinavian airlines SAS and Widerøe to ground them for good.Related stories: |
Groundings disrupt traffic - 13.09.2007 |
SAS management retired 27 Dash planes after another incident, where a plane had to make an emergency landing on Saturday. In Norway the decision will have most impact via subsidiary Widerøe, which has four Dash planes in heavy use.
"Confidence in the Dash 8-Q400 is significantly reduced and our customers are increasingly skeptical to flying with them. So, with the approval of the board, taken the decision to take the Dash out of use, SAS CEO Mats Jansson said on Sunday after an extraordinary meeting of the SAS board.
SAS would rebook or refund tickets to try to reduce traffic delays that would result from the decision.
Canadian plane producer Bombardier was disappointed with the SAS decision to drop the Dash, since no consistent problem had been found with the undercarriage.
The Dash carries Widerøe passengers between Torp Sandefjord and Bergen, Stavanger, Trondheim and Copenhagen. SAS said that their Stockholm-Trondheim route would be affected but no domestic flights in Norway used the Dash model.
Scandinavian aviation authorities tentatively banned the Dash 8-Q400 after a SAS flight from Bergen scrape landed at Copenhagen Airport on Saturday after its right wheel apparently failed to extend during landing. The incident was one of at least eight in Europe involving this Dash model since early September.
Rais Mtahafu, Alhaj Ali Hassan Mwinyi
Mpaka anakabidhi madaraka yake ya uraisi kwa raisi wa awamu ya tatu, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa mnamo tarehe 23 November mwaka 1995, jina ambalo wengi tulipenda kulitumia ni “Mzee Rukhsa” ingawa kamwe hatukuwahi kusahau kwamba jina lake kamili ni Ali Hassan Mwinyi, Raisi wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. (more…)
Kutoka: Bongo Celebrity.
FAKE PASTORS
Kuanzia kesho jumatatu DVD’s na VHS’s za filamu hiyo zinapatikana madukani kote nchini Tanzania kwa bei ya Tshs 5,000(rejareja) na Tshs 3,500 kwa bei ya jumla.Filamu hii ni ya takribani masaa mawili na ina subtitles za kiingereza mahususi kabisa kwa wale wasiofahamu Kiswahili ambayo ndio lugha kuu iliyotumika. Wahi kuitazama na kisha utupe mapitio (review) yako.
Kutoka: Bongo Celebrity
Sunday, October 28, 2007
Mfano:
Hapa Norway ikiwa saa 4 za asubuhi, Tanzania (Afrika Mashariki) ni saa 12 za mchana...
Mabadiliko ya saa hufanyika mara mbili kwa mwaka.
Jumapili ya mwisho ya Machi, kuingia majira ya Kiangazi (Summer). Tunasogeza saa moja mbele. Tofauti ya saa moja na Afrika Mashariki.
Jumapili ya mwisho ya Oktoba, kuingia majira ya theluji (Winter). Tunarudisha saa moja nyuma. Tofauti ya masaa mawili na Afrika Mashariki.
Westernization au Ulimbukeni?
I was at church the other Sunday. I had walked in late, as usual - I still don’t get this though – I always wake up so early, but I always get to church late! I have decided to blame it on the mirror. Somebody has to take the blame, but definitely not yours truly. Anyway, the church was jam packed – again as usual. Us, late comers, the young and the old, always get to enjoy the fresh morning breeze as we sit outside on the garden plastic chairs. Halafu the late comers are the ones who are always reeking of booze.
“Moan … God, do I have to go to church today … I’ll pray in bed … besides I always talk to you when I’m intoxicated …” is it just me or do we all get really religious and one with the Almighty when really sloshed. Once I even saw the pearly heaven’s gates. Kweli tena! So the negotiations with God continue, “… okay, I agree because of you my week was fruitful and beautiful … I agree, without you I wouldn’t be where I am today … “ at this point, your bed is getting cozier and warmer – but He always wins.
So groaning you get up and drag your heavy head to the bathroom. Between negotiating with your eyes to open, your feet to walk and finally arguing with the mirror that the face you are seeing on the mirror is not yours – you find yourself getting to church late again! Anyway, so basi bwana, this heavily pregnant older woman comes in – there is a bunch of kids occupying some of the plastic garden chairs – but they don’t move. Imagine, this heavily pregnant woman walks in and these kids in minis and loose pants just sit there – some of them chewing gum even! Yes, chewing gum kanisani I tell you!!
Anyway, the kids do see the woman, two girls look at her and start giggling. The mothers have also seen the woman. They steal quick glances at their spoilt kids and proceed fanning their heavily made-up faces with the Chinese fans they got from their shopping trips in Dubai.
Ingekuwa enzi yetu, one of the mothers would have given one of her kids that eye, that look – we used to call it the laser beam look as it sliced right through you with no warning at all. Anyway, so if it was our time, one of the mothers would have flashed one of her kids that look that would have made him get up as quickly as a flash and let the older person sit on his chair. Tena if you are late getting up from your chair, she makes you go fetch ten chairs - from God only knows where - of all the other late comers who have just walked in. Halafu lets not forget that you are in church, so no talking - mama wa enzi zetu would remind us with just one look. Without knowing your bearings, you go around like a headless chicken until you find the chairs.
So the poor heavily pregnant woman wobbles to this chair. It was unoccupied at that point. There was a 3-4 year old who seemed to be high on something was using it more as a jumping castle than a chair – one minute he was sitting on it, the next he was running around, chasing his own shadow. Again, his mother did nothing to stop the chaos he was causing.
“Ni mtoto bwana,” she would have said, if she was asked, “mwache acheze.”
Hello!! This is a church! Not a goddamn play ground!! We are here to pray not to play!! Duuh!! Anyway, so the heavily pregnant woman wobbles to the chair. Bwana wee, the baby mama wacha ampe lip! I promise you even the Almighty all the way up there stopped concentrating on the blessing he was showering us with at that moment and stared at the baby mama, bewildered. Quickly I got up – to the rescue – and offered the woman my chair. Manake ilikuwa ni aibu! And the kids, hell, they kept on blowing on their gums and giggling.
What’s happening to the African adabu and heshima, our parents and the parent of our parents and so-forth have been instilled in us for years? Why have we failed to do the same with our kids? Yaani their morals have gone out the windows kabisa! Haya basi, this other day I went to visit an old friend. Well, she is more of a dada than anything. You know, those older girls you grew up with whom always whacked your ass, just to prove that they were older than you so they knew better. Anyway, dada’s house was packed to the brim – with her daughters’ friends enjoying a sleep over. Getting a ‘shikamoo’ from them was an issue. Simply because they were as tall as I am - and ‘hi’ is the order of the day – or simply just a nod. And what did the mother do? Nothing. She just smiled and said the same annoying thing - which is about to turn into a national anthem soon, if we don’t start discipling our kids. “Waache watoto,” grr, I’m so getting tired of that sentence, “ndio wakati wao.”
The table then got laid … there was enough food to feed the whole Africa - halafu vikibaki they go to the dogs, no viporo in the fridge, all in the name of Uzungu. I think dada saw the surprised look on my face. There was savoury rice, chips, pizza, pasta, mash – there was even pilau and biriani - not to mention the poultry, seafood, meat dishes and salads. There were six girls and each had her own special dish. Haya bwana wee.
“We are having the savoury rice, but the girls don’t feel like rice today,” she explained. The little guys in my head and I all went ‘huh?’ in unison. I mean, whatever happened to ‘y’all going to eat what I have cooked!’
Halafu have you noticed that these kind of kids always sport those creatively-spelt black American names – such as LaQuanna, Zhan’nee, T’Keyah, LaShonda, Tyrone, YaSheema … and then there are the Precious, Ebony, Candy – these names are so creatively spelt that you have to go to school so as to learn to pronounce. Don’t the mothers who give their daughters such names know that the Moneeshas, Queetas and Shone’etas of this world can cook a storm as well as they can dance to a Beyonce video?
“I have taught them to speak their minds.” Okay, hold on there, dada. I don’t think this is what they mean by speaking one’s mind. This is called – having it their way and being spoilt. So there is dada Mary, the kids’ nanny, busy laying the table while the girls are dancing to Beyonce’s video. I call two of the girls and asked them if they would help dada Mary.
Dada quickly jumped in, “waache tu watoto wacheze.”
Lunch was delicious - yaani it was finger licking good - and loud. We could hardly hear each other with the girls jumping into our conversations. Again, if it was enzi zetu, duuuh! Tena a separate table ya mbali would have been set for us kids, lest we made noise and interrupted the elders.
So when we were done, I expected, well, I thought the girls would clear the table. Again I asked – okay, don’t go groaning on me now! I’m not blonde for nothing – jamani, I am sometimes slow. I just never learn fast enough.
This time the girls replied me from the lounge - while gyrating their teenage hips to a Shakira video - in unison, “dada atasafisha. Kwani kazi yake ni nini?”
“Can they cook?”
“Ooh no! What for? Heaven forbid, no! Si dada wapo?”
“How do they manage at school?” I just had to ask – my lower lip was hanging on the floor, I promise you. The girls then went to a boarding school you see.
“What do you mean?”
“I mean when it comes to washing and cleaning?”
“Oh sometimes they pay other kids to wash for them. Sometimes when we go visit we take the dirty laundry with us,” she explained proudly, “unajua I’m teaching them to be Westernized. Besides apart from wadada, we have washing maching, microwaves, blenders … blah blah blah ….”
I swear I never knew microwaves could cook! I was too flabbergasted that day to remember to ask dada to show me this miracle microwave. Next time I will sure remember - for I really could do with one!
Anyway, sasa huu uzungu utatupeleka pabaya! Maybe our parents were right when they insisted that ‘children are meant to be seen and not heard?’ They have been given the chance to be heard, now look at what is happening. They were so right to teach us the value of money and hard work. Huu sasa ni uzungu au ujinga? Ulimbukeni?!
From: Sahara SoulFood
Wamgomea RC Kutumia Kondomu.
Walisema hakuna sababu i ya wananchi kuendelea kuhamasishwa kutumia kondomu zinazochochea maambukizi ya Ukimwi hususan katika kipindi kama hiki cha kampeni ya
kitaifa ya upimaji wa VVU.
Mrisho alikuwa kijijini hapo kukagua shughuli za maendeleo. Alipowauliza wanakijiji kama wanataka kuendelea kufanya ngono zembe, waliitikia kwa sauti kubwa kukubali kufanya hivyo.
Ofisa Afya wa Mkoa, Likaganga Likaganga alipojaribu kuwashawishi kutumia kondomu kwa madai kuwa baadhi yao wameshindwa kufuata amri kumi za Mungu ikiwapo ile ya sita
inayowakataza kuzini, pia hakuelewa somo.
Kwa mujibu wa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Njombe, maambukizo ya Ukimwi wilayani hapo yamefikia asilimia 20 kutoka asilimia 12.3 za mwaka jana.
Katika hatua nyingine, Mkuu wa Mkoa hakuridhishwa na takwimu za watu 17,000 waliojitokeza kupima kutokana na idadi kuwa ndogo tofauti na watu 44,000 waliolengwa.
Kutoka: DarHotWire
Saturday, October 27, 2007
Pati ya kuzaliwa Miss Mara mwaka 2002-2003 ambaye pia alishiriki katika kinyang´anyiro cha kumsaka Miss Tanzania, Rashida Wanjara iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, iligubikwa na mambo ya aibu (uchafu mtupu).
Pati hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Much More uliopo katikati ya jiji Oktoba 19, mwaka huu na kuhudhuriwa na mastaa kadhaa wa kike na kiume ambapo baadhi yao walifanya mambo ya laana kiasi cha kuwafanya wastaraabu wachache waliokuwepo ukumbini kuinamisha nyuso zao kwa aibu......
Waandishi wetu waliokuwepo ukumbini hapo walishuhudia mastaa hao wakipata kilevi, kukumbatiana, kubusiana na kulishana vyakula kwa kutumia midomo bila wasiwasi na wengine kufikia hatua ya kupigana madenda laivu.
Aidha, mastaa wa kike walifunika kwa kuvaa vivazi vya ajabu vilivyoacha sehemu kubwa ya miili yao wazi na kupita navyo huku na huko ukumbini hapo bila kuona aibu.
Akiongea na Ijumaa Miss mmoja aliyeonekana kustaarabika ambaye ni mmoja wa waalikwa (jina linahifadhiwa) alisema kuwa, ingawa amewahi kuhudhuria pati kadhaa za mastaa wa hapa Bongo, ya Rashida ilikuwa imevunja rekodi kwa vituko vya aibu.
Sijawahi kuhudhuria pati iliyotawaliwa na uchafu kama hii, sawa kuna mambo ya kizungu lakini hii ni laana "this is too much", alisema Mrembo huyo aliyetokea kujizolea umaarufu katika siku za hivi karibuni.
Vituko vingine vilivyojiri katika pati hiyo ni pamoja na mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka Kundi la Wanaume Family, Mh.Temba kumvamia msichana mmoja aliyekuwepo ukumbini hapo na kumpa kipigo kikali kwa kile alichodai kuwa ni kumfuata fuata katika maisha yake ya kimapenzi.
Hata hivyo, licha ya matukio hayo machache ya aibu yaliyojiri, sherehe hiyo ilifana vilivyo kwani watu walikunywa, wakala na kucheza katika kupomngeza mrembo huyo kutimiza miaka 24.
Baadhi ya mastaa waliohudhuria katika pati hiyo ni mtangazaji wa Kituo cha Televishen cha Channel 5, Ben Kinyaiya, Mtangazaji Adam Mchomvu wa Redio Clauds ya jijini Dar es Salaam, mwanamuziki Dully Sykes, mwanamitindo Fidelin Iranga, mrembo Nurgis Mohamed, Fania Hassan ambaye ni Miss Utalii na wengineo.
Kutoka Global Publishers TZ.
Soma makala:
Tumeacha watoto walelewe na televisheni (Tanzania daima)
Watanzania tusiruhusu dini itutengenishe (Maoni)
TANZANIA imebahatika kuwa nchi moja wapo yenye utulivu duniani kufuatia wananchi wake kuishi kwa amani na ushirikiano, bila kujali tofauti za kidini au kikabilia.
Hali hiyo iliifanya jumuia ya kitamataifa imwalike Rais Jakaya KIkwete kuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Kiimani ambao uliwajumuisha wakuu wa madehebu ya dini mbalimbali duniani, uliofanyika katika Jiji la Napoli nchini Italia, mwezi huu.
Sababu kuu ya kualikwa Rais Kikwete, ambaye pia alihutubia kwenye mkutano huo, ni kutokana na Tanzania kuwa nchi ya mfano ulimwenguni kwa watu wake kuishi kwa uelewano, ushirikiano na amani bila kujali tofauti zao za kidini.
Ni dhahiri kwamba sifa hii ya kihistoria ya Watanzania kuishi kama ndugu (licha ya kuwepo kwa dini tofauti), imesaidi kudumisha amani na umoja wa kitaifa mpaka sasa.
Itakumbukwa kwamba hata wakati wa harakati za kupigani uhuru, Watanzania (Tanganyika) walikuwa na mshikamano na ushirikiano uliovunja mipaka ya kidini na kuwafanya kuwa kitu kimoja, hivyo kutuwezesha kupata uhuru haraka na bila kumwaga damu.
Wataalam wa masula ya jamii na siasa wanajua jinsi dini inavyoshika nafasi kubwa katika maisha ya watu, kwa vile inahusisha masuala ya imani ambayo yako ndani ya mtu na huchukua sehemu kubwa katika maamuzi juu ya mfumo wake wa maisha.
Watetea amani duniani pia wanafahamu jinsi masuala ya dini yalivyo nyeti na yanavyoweza kusambaratisha amani yakitumiwa vibaya katika jamii na hasa ukitokea mgogoro wa kidini. Ubaya wa migogoro ya kidini, huvunja hata uhusiano wa ndugu kwa sababu mtu anakuwa tayari kutengana au kupigana na ndugu yake ili kutetea imani (dini) yake.
Miongoni mwa migogoro mibaya isiyoweza kupatiwa ufumbuzi haraka, ni ya kidini na kikabila. Migogoro ya kidini ni mibaya zaidi kwa kuwa ikitokea, hata kabila moja na ndugu wa damu wanaweze kutengena, au kupigana na hata kuuana kutokana na kila mmoja kutetea dini yake.
Tunaimba kwamba Tanzania imebarikiwa na Mungu kuwa nchi ya amani, kwa sababu mpaka sasa hakuna migogoro ya kidini iliyowahi kuliingiza taifa hili kwenye vurugu kama inavyotokea katika nchi mbalimbali duniani na hata barani Afrika, ikiwemo Nigeria ambako kila mara watu wanauana kutokana na migogoro ya kidini.
Tunalazimika kuwakumbusha watanzania kuhusu jambo hilo kutokana na hali inayotaka kujitokeza sasa, kufuatia baadhi ya waumini na viongozi wa dini kuanza kulumbana na kutupiana maneno makali yenye vitisho, kwa misingi ya hoja za kidini, ambazo zikiendelea zitaliingiza taifa kwenye wakati mgumu, kwa vile moto mkubwa hutokana na kipande cha mkaa wa moto au kijiti kimoja cha kiberiti.
Ikumbukwe kwamba, mpaka sasa Waislamu na Wakristo ni ndugu na marafiki kwa kuwa hata katika hafla mbalimbali za kidini kuna utaratibu wa kualikana na pia viongozi wake wanashirkiana katika mambo mengi yenye lengo la kudumisha amani na kuletea maendeleo katika jamii nchini.
Mbali na ushirikiano wa viongozi hao, kwenye makazi ya watu wa dini zote mijini na vijini waishi pamoja kama ndugu na wanashirkiana na kusaidiana katika masuala mbalimbali, kama vile misiba, harusi na mengineyo. Huu ndiyo upendo wa watanzania ambao ndiyo kiini cha amani ya nchi yetu.
Tunakumbusha kwamba, amani ni bidhaa adimu na ya thamani kubwa na kila anayeipoteza si rahisi kuirejesha, kwa kuwa gharama yake ni kubwa. Hivyo tunawaomba Watanzania wote kuwa makini na tusikubali wala kuruhusu dini itutengenishe.
Mungu ibariki na ilinde Tanzania.
KINGWENDU KINGWENDULILE
Ukiacha wachekeshaji (comedians) wanaounda kundi la Ze Comedy, wachekeshaji wengine ambao ni maarufu nchini Tanzania ni Kingwendu Kingwendulile (pichani). Bado hatuna uhakika kama jina “Kingwendu” ni jina lake halisi au ni la kisanii tu (mwenye uhakika tusaidie). Mojawapo ya misemo ya mitaani ambayo huyu bwana anapewa sifa ya “mwanzilishi” ni ule wa “hello hello” msemo ambao kimsingi ni kibwagizo tu cha mitaani chenye uwezo wa kuwa na maana lukuki. Siku hizi hasikiki sana kwenye anga za uchekeshaji na hivyo tunafanya juhudi za kujua yuko wapi na anafanya nini.
Salmonella sprouts
Norway's Food Safety Authority has stopped the sale of alfalfa sprouts from the company Norske Spirer after ten people have been found to have the bacteria Salmonella Weltevreden.
The same bacteria in sprouts from the same supplier have been found in Denmark.
The sprouts come in 100-gram packages from Norske Spirer AS and BAMA AS (marked Norske Spirer AS), produced on the Fjeld farm in Nord-Odal. Products with a use-by date of November 7, 2007 have been banned.
This is the third incident involving unsafe food in circulation in Norway in two weeks. Last week a listeria outbreak was apparently linked to organic cheese and on Monday listeria was found in a consignment of cured salmon produced by Godehav and sold by the Rema 1000 grocery chain.
The alfalfa sprouts are imported from Italy, via Germany and Denmark. The banned lot is a 300-kilogram (660 lb) consignment of seeds that produce roughly double the weight in sprouts.
The 100-gram packages have been sold to 22 wholesalers, and from there sold on to retailers, health food stores, institutional kitchens, including hospitals and nursing homes, cafés and restaurants.
"We are talking about a very large dispersion. The product also has a two-week shelf life, so people may have had it in their refrigerators a while," said FSA senior adviser Tor Odd Silseth.
Ten people have been confirmed ill from the Salmonella Weltevreden bacteria, all are in the age range 35-60, and the majority are women.
Silseth urges consumers to either throw out the sprouts or to take them back to shops for a refund. He recommended that people who feel ill or have diarrhea after consuming sprouts contact a physician.
Kirsti Østvang
Aftenposten English Web Desk
Jonathan Tisdall
Friday, October 26, 2007
KIKWETE KUMRITHI NYERERE YANGA?
Na Mwandishi wetuWAKATI zoezi la utoaji kadi mpya za Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam likiendelea shauku kubwa ya Wanayanga ni kutaka kuona kama Rais Jakaya Kikwete, atajitokeza kuchukua fomu hizo na baadaye Kadi ya uanachama.
Yanga ambayo ilianza kuzigawa fomu hizo za maombi ya uanachama zipatazo 30,000, Jumatatu Oktoba 22, ikianza na jiji la Dar es Salaam, imezuia fomu kuanzia namba moja hadi 100, ambazo zitauzwa kwa viongozi.....
Mamia ya wanachama wa Yanga, tangu kutangazwa kwa uamuzi wa kuziweka fomu namba moja hadi 100 kwa ajili ya viongozi, wamekuwa wakitaka kujua na kuona ni viongozi gani wakuu wa kiserikali watakaojitokeza kuchukua fomu hizo.
Wanachama hao wamekuwa wakitamba kuwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ndiye mwanachama wa Yanga aliyetunukiwa kadi namba 01 ya Klabu hiyo.
Kutokana na hilo, wanachama na wanazi wa klabu hiyo kongwe zaidi nchini, hususan katika medani ya soka, wanataka kuthibitisha iwapo tetesi zisemwazo kuwa Rais Kikwete naye ni memba wa Jangwani.
“Tunasikia kuwa Mzee Nyerere alikuwa mwanachama namba 01, sasa tunasubiri kuona kama mheshimiwa Rais, ambaye naye watu wanadai kuwa ni mwenzetu atajitokeza kuchukua Kadi, kwani tumesikia kuwa viongozi wanataka kumpa kadi hiyo namba moja.
“Kama kweli atajitokeza kuchukua kadi tutamsindikiza na matarumbeta kwani ni heshima kubwa kiongozi wa nchi kuwa mwanachama wa klabu yetu,” alisema mmoja wa wazee wa Yanga ambaye aliomba hifadhi ya jina lake.
Wanachama hao wanasubiri pia kuona ni viongozi gani wenye nyadhifa za juu serikalini watakaojitokeza hadharani na kutangaza kuchukua fomu hizo, za kuomba uanachama wa Yanga.
Hilo linatokana na ukweli kwamba baada ya kuanzishwa kwa kampuni ya Yanga mwaka 2003, baadhi ya mawaziri akiwemo Naibu Waziri wa Elimu Utamaduni na Michezo enzi hizo, Mudhihir Mohammed Mudhihir, kujitokeza hadharani na kutamka yeye ni Yanga damu.
Katika kuthibitisha hilo Mudhihir aliwaongoza viongozi kadhaa kuchukua Kadi ya Useneta wa Yanga, ingawa wengi kati yao hawakutaka kujitangaza hadharani juu ya ukereketwa wake wao kwa Yanga.
Zoezi hilo la utoaji fomu za kuombea Kadi za uanachama kwa mkoa wa Dar es Salaam litakamilika kesho, na baada ya hapo litahamia katika mikoa mingine ya Tanzania bara na visiwani.
Great News! Brazil deserves to host this competition. Nevertheless Brazil has been the only consistent team in all world cup tournament. Congrats!
Posted by efa1977, Australia on 31/10/2007 at 11:55
Posted by abegafoot, Togo on 31/10/2007 at 07:59
Posted by Shukry, Sri Lanka on 31/10/2007 at 07:02
Posted by BluewingsFC, Korea Republic on 31/10/2007 at 05:28
Posted by EDNER15, USA on 31/10/2007 at 04:02
Posted by ptedjamulia, USA on 31/10/2007 at 03:56
Posted by Robertinho, USA on 31/10/2007 at 02:46
Posted by ron1727, USA on 31/10/2007 at 02:10
Posted by rsandrin, Brazil on 30/10/2007 at 22:37
Posted by RealFootball, USA on 30/10/2007 at 22:27